• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Ushirika

Vyama vya Ushirika

Vyama vya Ushirika huanzishwa na kuandikishwa kwa kuzingatia Sheria ya Ushirika ya Mwaka 2003. Mkoa una jumla ya Vyama vya Ushirika 879 vilivyoandikishwa vikiwemo Vyama vikuu vya Ushirika (Unions) vitatu (3) ambavyo ni Chama Kikuu cha Ushirika cha Mazao (DARECU), Chama Kikuu cha Viwanda (TICU) na Chama Kikuu cha Akiba na Mikopo (SCCULT) Ltd. Pia kuna vyama vitano (5) vya Ubia (Joint Venture Enterprises).

  • DARECU ni Chama Kikuu cha Ushirika cha mazao ambacho kazi yake ni kununua mazao ya wakulima na kusambaza pembejeo kwa kushirikiana na Vyama vya Msingi 23 ambavyo ndio wanachama wa Chama hiki.


  • SCCULT (1992) LTD ni muungano wa Vyama vya Akiba na Mikopo Tanzania, kazi yake ni kutoa ushauri na kuvisaidia Vyama vya Msingi vya Akiba na Mikopo katika kupata mitaji na mafunzo.


  • Vyama vya Ubia (Joint Venture Enterprises) ni Muungano wa Vyama vya Ushirika vya Kibiashara katika maeneo ya Masoko. Kazi ya vyama hivi vya Ubia ni kuwasaidia wafanyabishara kupata elimu ya biashara na mitaji


  • SACCOS ni Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo ambavyo vinatoa huduma ya mikopo kwa Wanachama katika kupata mitaji ya kuendeshea biashara mbalimbali na kutatua matatizo ya kijamii na kiuchumi.

Hadi kufikia mwezi Desemba 2013, Mkoa ulikuwa na jumla ya Vyama vya Ushirika vya Msingi 871 vilivyo andikishwa kisheria; ambapo Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) ni 662, Vyama vya mazao (korosho) 23, na Vyama 186 vya aina nyingine kama vile ujenzi wa Nyumba, Viwanda, Biashara, Usafiri na Uvuvi.

Hali ya Vyama (Wanachama, Hisa, Akiba na Mikopo) Wanachama :

Vyama vya Ushirika hapa Mkoani vina jumla ya wanachama 208,233 hadi mwezi Desemba 2013, kati yao, SACCOS zina wanachama 193,930.

Hisa, Akiba na Mikopo

Wanachama katika SACCOS wamenunua Hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 10.8, pia wameweka Akiba na Amana zenye thamani ya Shilingi Bilioni 108.67 hadi Desemba 2013. Mikopo iliyotolewa kwa wanachama hao hadi Desemba, 2013 ni ya thamani ya Shilingi Bilioni 226.5

Ukaguzi wa Mahesabu wa Usimamizi wa Vyama

Mkoa kupitia Maafisa Ushirika wake umeweza kufanya ukaguzi na usimamizi wa Vyama na kutoa ripoti kwa Wanachama wake kwa Vyama 352 kati ya Vyama vilivyo hai 652 hadi Desemba 2013 sawa na asilimia 54.% ya Vyama ambavyo ni hai.

Moja ya jengo la chama cha ushirika -WANAMA SACCOS

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.