• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

DC Ludigija Ashiriki zoezi la usafi wa mwisho wa Mwezi Julai

Posted on: June 25th, 2022

Katika kutekeleza Kampeni ya Usafi iliyozinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ya ‘Pendezesha Safisha Dar es Salaam’ Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam leo tarehe 25 Juni, 2022 wamefanya usafi katika kata ya Jangwani ikiwa ni sehemu ya kuendeleza kampeni ya Safisha Pendezesha Dar es Salaam ambapo usafi huo hufanywa kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi.

Zoezi hilo la usafi lililoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mheshimiwa Ng’wilabuzu Ludigija liliweza kuhudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Diwani wa Kata ya Jangwani, Jeshi la Zimamoto, Watendaji kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Asasi mbalimbali ikiwemo ‘Juza Waste Pickere Initiative’ Taasisi ya kutokemeza kifua kikuu, pamoja na wananchi wa Kata ya Jangwani wakiongozwa na vijana walioathiriwa na madawa ya kulevya ambao kwasasa wamesaidiwa na Juza Waste Pickers Initiative ambao hujishughulisha na uokotaji wa taka ikiwa ni sehemu ya utunzaji wa mazingira.

Akizungumza katika zoezi hilo Mheshimiwa Ludigija amewata Wananchi kushiriki usafi kama desturi yao na sio kusubiri mpaka mwisho wa mwezi ufike ili kuweka mazingira safi na kuhakikisha Jiji la Dar es Salaam linapendeza na kuwa safi, "Tuhakikishe kwamba usafi ni jambo la kwanza katika Wilaya yetu na ukilinganisha kwamba sisi ni Jiji Lazima tuendane na hadhi ya Jiji letu hivyo nipende kutoa wito kwa Mtendaji wa Kata ya Jangwani kuhakikish kua anashirikiana na  viongozi pamoja na wadau  wengine kuwatumia vijana wa kata hii kuokota taka Lengo likiwa ni kupendezesha Jiji na kutekeza kampeni yetu ya Safisha Pendezesha Dar es Salaam hivyo tuufanye usafi kama desturi yetu na tusisubiri hadi mwisho wa mwezi ufike."

Sambamba na hilo Mheshimiwa Ludigija ameweza kuzindua Asasi ya utunzaji wa Mazingira maarufu kama ‘Juza Waste Pickers Initiative’ ambayo ilianza mwaka 2012 kama kikundi kidogo cha waokota taka wakisaidiwa na vijana walioathiriwa na madawa ya kulevya ambapo hadi kufikia Aprili, 2022 Juza Waste Pickers Initiative kusajiliwa rasmi na kua Asasi ya Utunzaji wa Mazingira, aidha Asasi hiyo imekua ikishirikiana na vijana hao kwa ukaribu zaidi lengo likiwa ni kuwawezesha vijana kiuchumi na pia kuwafanya waondokane na matumizi ya madawa ya kulevya na kurudi katika hali zao za kawaida."Amesema Mheshimiwa Ludigija.

"Niwapongeze kwa jambo hili zuri la kuwasaidia vijana wetu kuondokana na wimbi la uvutaji madawa ya kulevya na kuamua kuwaajiri katika kazi ya kutunza mazingira ambapo hadi sasa wamekua wakijali afya zao hivyo kuamua kutoa bima za afya  kwa vijana 30 Lengo likiwa ni kuhakikisha wanaimarisha afya za vijana hao, hivyo niwakaribishe wadau wengine watakaowiwa katika hili lengo likiwa ni kumuunga mkono Mheshimowa Raisi katika kuimarisha sekta ya Afya.

Kwa upande mwingine Mheshimiwa Ludigija amewasisitiza wananchi kushiriki vyema katika zoezi la Anuani za Makazi ambapo amewaagiza kuhakikisha wanaweka namba kwenye nyumba zao pamoja na vibao vya mitaa  lengo likiwa ni kurahisisha mawasiliano majanga yanapotokea na pia kuimarisha biashara zao lakini pia zoezi hilo la Anuani za Makazi litarahisisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 inayotarajiwa kufanyika  mwezi wa Nane mawaka huu.

"Natoa Wito kwa viongozi wa Kata wakiongozwa na Madiwani husika kuhakikisha wanasimamia vizuri zoezi la Anuani za makazi kwa kuhakikisha Mitaa yote inakua na vibao pamoja na nyumba zote kua na Namba hivyo niwaombe wananchi kushiriki vizuri kwa kuhakikisha nyumba zao zina namba.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.