• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Baraza la Madiwani Jiji la DSM lapitisha taarifa ya utendaji kazi ya robo ya pili kuanzia Oktoba-Disemba, 2021

Tarehe iliyowekwa: March 2nd, 2022

Na,Amanzi Kimonjo.

Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam leo Machi 2, 2022 imefanya Mkutano wa Baraza la Madiwani na kuweza kupitia taarifa mbalimbali za utendaji kazi zinazofanywa na Jiji hilo,Mkutano huo umefanyika ukumbi wa mikutano wa  Anatoglou uliopo  Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam.Baraza hilo la madiwani limepitia taarifa ya utendaji kazi ya robo ya pili kutoka Oktoba hadi Disemba 2021 na kuweza kuangalia utendaji kazi huo katika kamati mbalimbali kama vile kamati  ya fedha na utawala,uchumi na Huduma za Jamii,Mipango miji na Mazingira,pamoja na kamati ya kudhibiti UKIMWI pia kikao kimeweza kupitia taarifa hiyo ya utekelezaji wa maendeleo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa kipindi cha robo ya pili Oktoba-Disemba 2021.Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es salaam akizungumzia mradi wa Maendeleo ya ujenzi wa machinjio ya kisasa iliyopo katika kata ya vingunguti Mhe.Omari Kumbilamoto amesema "mradi wa ujenzi wa machinjio ni mradi unausimamiwa usiku na mchana pamoja na genereta tayari limenunuliwa  na kuhakikisha kazi zinaendelea kufanyika mpaka kufikia hatua iliyopo"Vilevile Mradi wa machinjio ya Vingunguti umekuwa mradi mkubwa katika Halmashauri ya Jiji kulingana na mahitaji ya machinjio hiyo ya kisasa ikiwa ni miungoni mwa hoja za maendeleo zilizoongelewa katika baraza hilo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi.Tabu Shaibu amesema "Mradi wa machinjio ya kisasa unaendelea na maagizo ya kamati ya fedha kuwa mradi huo ndani ya miezi mitatu kutoka machi hadi july kuweza kufikia hatua ya kukamilika".Katika upande wa maendeleo ya jamii ukamirifu wa madawati katika madarasa ya UVIKO uwepo wa madawati na ubora wa majengo hayo kuwa madarasa yamekamilika katika ubora pia suala la madawati ya kila darasa ni maagizo kutoka serikali kuu kuwa kila darasa lazima liwe na madawati hamsini hivyo basi madarasa yako na madawati mwenyekiti wakamati ya maendeleo ya jamii ambaye ni diwani wa kata ya Kipunguni Mhe.Mushi amesema "kila darasa moja la UVIKO likikamilika kwa maeneo yote tambalale basi ni lazima madawati Hamsini 50 yawepo tayari pindi mradi unapomalizika kwa ajili ya wanafunzi husika kukalia na kuendelea na masomo" sambamba na hilo pia Kaimu  Mkurugenzi wa Halmashauri wa Dar es Salaam Bi.Tabu Shaibu amesema" kufikia leo jioni  shule ya Buguruni moto jumla ya Madawati  300 yamepelekwa kwa ajili ya kukamilika na kuendelea kuendeleza jukumu la kutoa elimu linaendelea".Pia,katika kikao hicho Afisa takukuru aliweza kutoa mafunzo kwa madiwani juu ya umuhimu wa usimamizi wa madiwani katika shughuli za maendeleo na kuweza kupanua mawazo na fikra ikiwemo uelewa juu ya masuala ya rushwa na viashiria vyake katika usimamizi wa miradi ya maendeleo katika kila kata Afisa TAKUKURU amesema Miradi hii ya maendeleo ipo kwenu madiwani na niwajibu kwenu kuweza kuisimamia ili kuona utendaji wa kazi thabiti unaendelea na kuona fedha za serikali zinatumika kikamilifu"Kamati ya ukimwi katika kipindi cha mwezi oktoba hadi kumekuwa na changamoto katika kudhibiti UKIMWI kwani changamoto kubwa ni sambamba na uwepo wa madangulo yanayohamasisha ngono zembe na kisababisha ueneaji wa ugonjwa wa UKIMWI Mwenyekiti wa kamati ya UKIMWI Bi.Lucy amesema elimu inatolewa na pia semina zitatolewa kwa madiwani juu ya matumizi sahihi ya mipira na wananchi kupitia nyinyi madiwani mhamasishe watu waendelee kujikinga na UKIMWI kwani UKIMWI upo juma tatu hadi juma pili.Kwa kuhitimisha Madiwani wamepongeza juu ya ujio wa Afisa wa TAKUKURU katika kikao cha baraza la madiwani na kuweza kutoa mafunzo mazuri kwa madiwani juu ya usimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kusema siku zote walisikia salamu kutoka TAKUKURU ila leo tumefurahishwa na ujio wenu tunawapa hongera na tunashukuru .


Matangazo

  • Tangazo la upangishaji eneo la wazi katika jengo DCC Business Park (Machinga Complex) February 18, 2021
  • Orodha ya waliochaguliwa kufanya usaili utakaofanyika Karakana ya Mwananyamala tarehe 16 Februari, 2021 kwa nafasi ya kazi ya kukusanya ushuru wa maegesho yasiyo rasmi "Wrong Parking" February 15, 2021
  • Tangazo la ajira ya muda November 03, 2021
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza mwaka 2022-Shule za Ilala Mjini November 24, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani Jiji la DSM lapitisha taarifa ya utendaji kazi ya robo ya pili kuanzia Oktoba-Disemba, 2021

    March 02, 2022
  • Mkuu wa Wilaya ya Ilala amaliza mgogoro wa mpaka Mtaa wa Ngobedi 'B'

    February 21, 2022
  • Kamati ya Fedha Jiji la Dar es Salaam yakagua Miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kwa kipindi cha robo ya pili (Octoba -Desemba, 2021)

    February 17, 2022
  • Kamati ya kudhibiti UKIMWI Jiji la DSM yatembelea vituo vinavyojishughulisha na uelimishaji wa shughuli za kudhibiti UKIMWI

    February 16, 2022
  • Angalia zote

Video

Omary Matulanga achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Jiji la Dar es Saaam
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Wananchi

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi: 0713614364

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.