• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Bilioni 4.1 kujenga Shule ya Sekondari Kitunda Relini

Tarehe iliyowekwa: November 29th, 2024

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salam imetenga jumla ya Shilingi bilioni 4.1 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Kitunda Relini ambapo shilingi million 528 ni fedha kutoka Mpango  wa kuboresha elimu ya Sekondari (Secondary Education Quality Improvement Program SEQUIP) huku zaidi ya Bilioni 3 ikiwa ni fedha kutoka Serikali Kuu na mapato ya ndani ya Halmashauri.

Hayo yamebainishwa leo Novemba 29, 2024 na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Ndg. Elihuruma Mabelya wakati wa  hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa Shule hiyo iliyofanyika katika Kata ya Kitunda Jijini Dar esSalaam .

 Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kuwa mwadilifu kwa kuhakikisha anakamilisha mradi kwa wakati huku akimisisitiza ashirikiane na wataalamu kutoka Halmshauri ya Jiji la Dar es Salaam katika kazi ili kuleta matokeo yenye tija kwa maslahi ya Wananchi.

Aidha Mhe. Kumbilamoto amemshukuru Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha anazoendelea kutoa kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo huku akiwahakikishia wananchi kuwa mradi utakamilika kwa muda uliopangwa na kwa ubora uliokusudiwa.

 Kwa upande wake Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Habari ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ukonga Mhe. Jerry William Silaa  ametoa wito kwa Mstahiki Meya na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kuweka mifumo bora ya kumsimamia mkandarasi ili kazi ya ujenzi ikamilike kwa wakati na ubora ili wanafunzi waanze kutumia Shule hiyo na kupunguza msongamano darasani huku akimtaka mkandarasi aliyepewa tenda kufanya kazi hiyo kwa bidii na kwa viwango ili kuleta matokeo yenye tija kwa maslahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

 Awali akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndg. Elihuruma Mabelya Amesema “Serikali ya Awamu sita chini ya Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan inatuletea pesa nyingi katika Halmashauri yetu ni wajibu wetu kuhakisha Fedha zinatumika kwa kazi iliyokusudiwa kwa maendeleo ya jamii yetu."

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.