• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Mpogolo atatua kero za Wananchi wa Kata ya Pugu Mtaa wa Kinyamwezi

Tarehe iliyowekwa: August 26th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo leo Agosti ,2023 amefanya ziara ya kutatua kero za Wananchi wa Kata ya Pugu ikiwa ni utaratibu wake wa kuwafikia wananchi kusikiliza na kutatua kero zao.

Katika ziara hiyo Mhe. Mpogolo aliambatana na Wataalam kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na wengine kutoka Taasisi wezeshi zinazowahudumia wananchi kwa ukaribu zaidi ikiwemo Wakala wa Barabara za Vijijini na Mji (TARURA) pamoja na Wataalamu kutoka Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA).

Akiwa katika kusikiliza kero za wananchi wa Kata ya Pugu Mhe. Mpogolo amesema amebaini kero kubwa kutoka kwa wananchi wa Pugu Kinyamwezi ni kukosekana kwa Shule ya Msingi ya Karibu, Barabara zisizopitika pamoja na uvamizi wa ardhi.

Hata hivyo Mhe. Mpogolo amewataka Viongozi wa Serikali za Mtaa wa Pugu-Kinyamwezi kuhakikisha wanasimamia vizuri suala la ardhi hususani maeneo yaliyoachwa wazi kwani maeneo hayo ya naweza kutumia kuendeleza miundombinu ya Afya, Elimu na Barabara.

“Niwaombe Viongozi wa Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na wataalamu wetu kuhakikisha mnasimamia vizuri Ardhi isivamiwe kwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametenga fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya Elimu, Afya na Barabara hivyo maeneo hayo yatasaidia katika utekelezaji wa miradi hiyo ya Maendeleo hivyo muhakikishe watu hawavamii maeneo na Nyie viongozi wa Serikali za Mitaa msigawe maeneo sio kazi yenu.”

Vilevile Ametoa wito kwa Wananchi iwapo watakua na kero zao wasisite kufika ofisi za Mkuu wa Wilaya pamoja na ofisi za Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kusaidiwa kutatua Kero hizo kwani kazi yao kubwa ni kuwatumikiaa Wananchi na kuhakikisha wanapata huduma muhimu kwa ukaribu zaidi.

Mwisho wananchi na viongozi wa Kata ya Pugu wamepongeza ziara ya Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kwa kuwakumbuka katika kusikiliza kero zao na kumuhakikishia kutekeleza yote aliyoyaagiza.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.