• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri ya Jiji la DSM kushiriki katika Kampeni ya Awamu ya tatu ya Habarisha Wanawake, Badilisha Maisha (Inform Women, Transform Lives)

Tarehe iliyowekwa: October 11th, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Divisheni ya Maendeleo ya Jamii leo Oktoba 11, 2023 wamezindua kampeni ya Habarisha Wanawake, Badilisha Maisha (Inform Women, Transform Lives) yenye lengo la kuhamasisha wanawake kupata habari.

Akisoma taarifa hiyo kwa niaba ya Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Bi. Tabu Shaibu ameeleza kuwa “Mheshimiwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Omary Kumbilamoto ameeleza kuwa tunataka kushirikiana na The Carter Center kwasababu italeta mabadiliko chanya kwa maisha ya kila siku ya Mwanamke katika Jiji la Dar es Salaam huku akisisitiza kuwa taarifa sahihi hutaka maana kubwa kwa wanawake na huwa sauti kubwa ambayo huwa wezesha wanawake kuongeza uelewa katika masuala ya Kiuchumi na kuwapatia fursa katika kuongeza wigo wa kupata huduma za kijamii hivyo kampeni hii haitawasaidia wanawake peke ake bali jamii nzima kwa ujumla wake.”

Aidha Bi. Tabu Shaibu ameendelea kusema Lengo kubwa la kampeni hii ni kuweza kuwafahamisha wanawake haki ya kupata taarifa, kuongeza mitandao ya Kijamii na programu mbalimbali za matangazo kutoka Serikalini pamoja na Taasisi za Serikali kwani makundi mbalimbali ya Wananchi yatawasaidia kuwaunganisha wanawake kupata habari muhimu na kubadilishana mawazo Kutoka katika Miji 35 inayohusika kwenye kampeni hiyo.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Bi. Magreth Mazwile ambaye ndiye mratibu wa Kampeni hiyo amesema “ Kampeni hii ni maalumu kwaajili ya kuhamasisha wanawake kupata habari ilianzishwa na The Carter Center ya Marekani chini ya Rais wa zamani wa Marekani Mhe. Jimmy Carter hivyo kupitia kampeni hii ya ‘Inform Women, Transform LivesCampaign' itawasaidia wanawake kupata habari mbalimbali zinazopatikana katika Halmashauri ikiwemo Habari za Lishe, habari kuhusu mikopo kwa wanawake na habari mbalimbali za kiuchumi zinazotokea nchini, hivyo sisi kama Halmashauri Jiji la Dar es Salaam tutahamasisha wakina mama kupata taarifa kwa njia za redio, televisheni na mitandao ya kijamii.”

Kampeni hii ya awamu ya tatu itakayodumu kwa miaka miwili (2023-2025) imeshirikisha Majiji 12 duniani ikiwemo Dar es Salaam, Tanzania; Accra, Ghana; Baltimore Maryland, Marekani; Glasgow, Scotland; Kathmandu, Nepal; Lagos, Nigeria; Merida, Mexico; Quezon City, Philippines; Quito, Ecuador; Rio de Janeiro, Brazil; Rotterdam, England pamoja na Santiago, Chile.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.