• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jaffo azindua mpango wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wa kukuza na kuendeleza utalii

Tarehe iliyowekwa: March 17th, 2018

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Suleimani Jaffo (Mb), leo tarehe 17 Machi, 2018 amekua mgeni rasmi katika uzinduzi wa shughuli za kukuza na kuutangaza utalii katika Jiji la Dar es Salaam. 

Akizingumza katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na viongozi wa Serikali katika ngazi ya Mkoa, Waheshimiwa Madiwani, wadau mbalimbali katika sekta ya utalii na vikundi vya wajasiriamali vinavyoshughulika katika biashara ya utalii katika Jiji la Dar es Salaam, Waziri Jaffo ametoa pongezi kwa Halmashauri ya Jiji Dar es Salaam kwa jitihada inazozifanya za  kukuza na kutangaza utalii nchini.

Aidha, ameziasa Mamlaka za Serikali za Mitaa kote nchini kuiga jitihada zinazofanywa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika kukuza na kuendeleza utalii nchini.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul C. Makonda amepongeza jitihada zinazofanywa na Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji linaloongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji Dar es Salaam katika kukuza na kuendeleza utalii jijini pamoja na kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano katika kuwaletea Watanzania maendeleo.

Mhe. Paul Makonda amepiga marufuku baadhi ya watendaji Serikalini wanaozuia wasanii kurekodi video za nyimbo na sinema zao kwenye mandhari (location) mbalimbali za Jiji la Dar es Salaam kwani kwa kufanya hivyo inarudisha nyuma fursa za kutangaza na kukuza utalii wa Jiji la Dar es Salaam kupitia kazi za sanaa za wasanii hao.

Nae, Mstahiki Meya wa Jiji, Mhe. isaya Mwita Charles amesema Jiji la Dar es Salaam litashirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, Chuo cha Taifa cha Utalii na wadau mbalimbali wa utalii ili kuhakikisha vivutio vingi vya utalii vinavyohusu historia ya nchi hii, mila, desturi na utamaduni, majengo ya kihistoria, siasa, uchumi na mambo ya jamii vinatangazwa ili kukuza utalii katika Jiji la Dar es Salaam na kuweza kutunza mazingira, kutoa ajira kwa wananchi wetu na pia kuchangia pato la Taifa.

Awali akiwasilisha taarifa ya mpango wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika kuendeleza utalii jijini Dar es Salaam kwa Waziri Jaffo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Sipora Liana ameeleza jitihada mbalimbali zilizofanywa na Halmashauri ikiwa ni pamoja na ununuzi wa mabasi ya kubeba watalii, uwekaji wa nembo malum katika majengo ya kihistoria, kuanzisha Kitabu cha Utalii kinachotoa taarifa mbalimbali ya vivutio, mahali pa kwenda, vitu muhimu vya kuangalia na taarifa za kiusalama ili kumrahisishia mgeni anapotembelea sehemu mbalimbali jijini pamoja na kutoa mafunzo kwa waongoza utalii (Tour Guides) watakaotumika kuongoza wageni na watalii watakaotoa taarifa sahihi za vivutio, historia ya Mji wakati wa kuwatembeza watalii kwenye vivutio mbalimbali.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.