• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jiji la DSM laongeza kasi utoaji wa elimu ya mfumo wa TAUSI

Tarehe iliyowekwa: June 12th, 2023

Katika muendelezo wa kuwafikia wafanyabiashara wengi kuufahamu na kutumia Mfumo Mpya wa ukusanyaji wa Mapato Kwa njia ya dijitali ujulikanao kwa jina la TAUSI, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeongeza kasi ya utoaji wa elimu hiyo kupitia vituo mbalimbali vilivyopo kwenye Ofisi za Kata na Mitaa ya Halmashauri ya Jiji pamoja vituo vya Ofisi za TRA.

Akizungumza wakati wa ziara Maalum ya kutembelea Vituo hivyo, Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Ofisi ya Rais - TAMISEMI Ndg. James Nicholas amesema kuwa lengo kubwa la ziara hiyo ni kutembelea na kujionea changamoto wanazopata katika zoezi la utoaji wa leseni kupitia Mfumo huo kisha Wizara ijue wapi kwa kuboresha "Naupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa jitihada hizi mlizochukua za kutenga Vituo Kumi (10) kwa ajili ya utoaji wa huduma za naombi ya leseni Kwa wafanyabiashara kwenye maeneo yao, tumeona changamoto kadhaa ikiwemo tatizo la Mfumo wenyewe hivyo tumeyachukua na tutayawasilisha kwa ajili ya utatuzi, lakini hakikisheni mnapowasajili muwaelekeze jinsi ya kutumia Ili baadaye waweze kutumia wenyewe kupata huduma kwakuwa ndiyo lengo kuu la Mfumo huu wa TAUSI" alisema Ndg. Nicholas.

Kwa Upande wake Afisa Biashara kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Ndg. Kefas Gembe, amewashukuru Maafisa hao kutoka TAMISEMI Kwa ujio wao kuona maendeleo ya zoezi la utoaji leseni Kwa Mfumo wa TAUSI na kusema kuwa Halmashauri ya Jiji imejipanga kutoa elimu Kwa njia zote kuhakikisha wafanyabiashara wanauelewa Mfumo huo mpya.

"Lengo letu ni kuwafikia wafanyabiashara wengi hivyo kupitia Vituo hivi zaidi ya Kumi (10)  vya utoaji huduma za maombi ya leseni kwa Mfumo wa Tausi, naamini tutafikia Malengo tuliyojiwekea ya Ukusanyaji wa Mapato ya leseni za Biashara, Tunaomba Changamoto za kimfumo zifanyiwe kazi Ili tufikie Malengo Kwa Wakati" alisema Ndg. Kefas Gembe.

TAUSI ni mfumo mpya wa ukusanyaji wa Mapato kwa njia ya dijitali ambao unamrahisishia mfanyabiashara kufanya Malipo ya Halmashauri kwa njia ya mtandao kupitia simu yake ya kiganjani au kompyuta.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.