• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala wafanya ziara Idara ya Elimu Sekondari Jiji la DSM

Tarehe iliyowekwa: January 17th, 2023

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala ameridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa Ilani ya Chama kwa upande wa Idara ya Elimu Sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, hayo ameyabainisha leo Januari 17, 2023 katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi ya CCM Wilaya ya Ilala walipojadiliana mambo mbalimbali kuhusu namna ya kuboresha Elimu ya Sekondari, Vyuo vya Elimu ya Juu na Vyuo vya Ufundi ikiwepo Elimu ya Watu Wazima.

Akiongea katika ziara hiyo Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Wilaya ya Ilala Ndugu Mtiti Mbassa Jirabi ameeleza kuwa "Lengo la kuja hapa ni kuhakikisha tunapata maelezo sahihi na ya kina kama sehemu ya kujifunza ili tukatoe elimu kwa wanachama wetu wa Jumuiya ya Wazazi inayosimamia Elimu, Malezi, Mazingira, Afya pamoja na Utamaduni.”

Aidha, Ndugu Mbassa aliendelea kusema “Kama kamati ya utekelezaji tunaridhishwa na mwenendo wa Elimu katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, lakini pia ombi letu kubwa tunaomba utoro mashuleni ushughulikiwe pamoja na mwenendo wa maadili kwa wanafunzi wa rika huku tukiwataka wanafunzi wenye mahitaji maalumu kupewa kipaumbele ili waweze kusoma katika mazingira rafiki kama wanafunzi wengine.”

Naye Afisa Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mwl. Mussa Ally amesema “Kipekee napenda kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuboresha sekta ya Elimu Nchini kwani amekua akifanya jitihada za juu sana kuhakikisha anatoa fedha kwaajili ya ujenzi wa madarasa lengo likiwa ni kuhakikisha wanafunzi wote wanaofaulu kwenda Sekondari waweze kusoma katika miundombinu rafiki ili kukuza sekta ya elimu nchini.”

Sambamba na hilo Mwl. Mussa ameeleza kua katika kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi ibara ya 80 kipengele ‘A’ inaangalia watoto wa Tanzania wote wenye uhitaji wa kupewa elimu wapewe fursa na Elimu hiyo iwe bora na yenye mafanikio kwa watoto wetu hivyo kutokana na kifungu hicho, Halmashauri ya Jiji la DSM kupitia Idara ya Elimu Sekondari wameweza kutekeleza hilo.

“Niwahakikishie tu kwamba kutokana na utekelezaji wa Ilani ya Chama sisi kama Idara ya Elimu Sekondari tutahakikisha wanafunzi wanasoma kwa bidii katika mazingira rafiki na pia tutahakikisha tunaukomesha utoro kwa kushirikiana na viongozi wote kuanzia ngazi ya Kata pia hatutaishia humo kwani kwa watoto watakaopata mimba mashuleni wataendelea na masomo kwa kuendelea kusoma elimu ya watu wazima hivyo niwahakikishie tu yakwamba watoto wetu watasoma kwenye mazingira salama na ufaulu utazidi kuongezeka.” alimalizia Mwl. Mussa

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.