• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Mipango Miji Jiji la DSM yakagua Usafi wa Mazingira Viwandani pamoja na Ukaguzi wa miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa kwa kipindi cha Robo ya Kwanza(Julai - Septemba 2023)

Tarehe iliyowekwa: October 25th, 2023

Kamati ya Mipango Miji na Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, leo Oktoba 25, 2023 imefanya Ziara ya ukaguzi wa Mazingira na Upangaji Miji ikiwa ni sehemu ya majukumu ya Kamati kusimamamia matumizi bora ya ardhi kwa kuzingatia mpango wa matumizi ya ardhi (Master Plan) ya Jiji na kusimamia matumizi sahihi ya Miundombinu iliyopo pamoja na usafi wa mazingira, hii ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa miradi pamoja na utunzaji wa Mazingira kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha robo ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 ulioanza Julai hadi Septemba 2023.

Wakiwa kwenye ziara hiyo, Kamati iliweza kutembelea kiwanda cha maji cha Dew Drop kilichopo Buguruni na Kiwanda cha Unga cha Azania kilichopo Tabata Matumbi lengo likiwa ni kukagua hali ya usafi wa Mazingira kwa ustawi na usalama wa wafanyakazi pamoja na Wananchi wanaozungukwa na viwanda hivyo.

Kwa upande mwingine, Kamati pia ilitembelea na kukagua eneo la uwekaji wa vigae (pavings) kwenye njia ya watembea kwa mguu Kata ya Kivukoni ambapo takribani shilingi milioni 600 fedha kutoka Mapato ya Ndani ya Halmashauri zimetumika kuteleza mradi huo unaoendelea katika Mitaa ya Luthuli, Sokoine na Ardhi.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Nyansika Getama akifanya majumuisho ya ziara hiyo amesema, "Leo tumetembelea baadhi ya miradi inayosimamiwa na kutekelezwa na Halmashauri ya Jiji la DSM ambapo tumeweza kuridhishwa na utekelezaji huo japo kuna marekebisho madogomadogo yakukamilisha hususani katika suala zima la utunzaji wa mazingira kwa baadhi ya maeneo ya viwandani na baadhi ya maeneo yanayotiririsha maji machafu yafanyiwe utekelezaji."

Aidha Kamati imeagiza wataalamu wa Divisheni za Mipango Miji na Mazingira kuandaa taarifa sahihi endapo eneo la Halmashauri ya Jiji lililopo TRC Gerezani kama limevamiwa huku wakiitaka Divisheni ya Mipango Miji kuandaa utaratibu wa kupitia ramani ili kubainisha maeneo ya wazi na yaliyo vamiwa ya Halmashauri, pia kamati imeagiza wataalamu kutoka Divisheni ya Mazingira kuhakikisha viwanda vyote vinavyotiririsha maji taka vinapigwa faini kwa mujibu wa sheria na kanuni zinavyoelekeza.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.