• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala yafanya Ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la DSM kwa kipindi cha January hadi Juni 2021

Tarehe iliyowekwa: September 1st, 2021

Na; Judith Msuya

Kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala leo August 30, 2021 wamefanya ziara  ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha January hadi Juni 2021ili kuweza kuangalia utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi (CCM) 202-2025.

Wakiwa kwenye ziara hiyo, Kamati iliweza kutembelea na kukagua Miradi Sita ikiwemo; ujenzi wa vyumba vya Madarasa Manne (4) pamoja na umaliziaji wa ukarabati wa Maabara Tatu (3) za Sayansi katika shule ya Sekondari Mivinjeni ambapo Mradi huo umetumia kiasi cha shilingi Milioni 79.9 na mpaka sasa Mradi wa Vyumba vya Madarasa Manne (4) umekamilika na wanafunzi wapo Madarasani huku Mradi wa umaliziaji wa Maabara ambao ukikamilika utagharimu takribani Shillingi Milioni 100.7 na ujenzi unaendelea kutekelezwa.

Mradi mwengine uliotembelewa na kamati hiyo ni ujenzi wa Madarasa Matano (5) na Maabara Mbili (2) za Sayansi katika shule ya Sekondari Kinyerezi Annex ambapo Mradi huo uliogharimu takribani Shilingi Milioni 100 umekamilika huku mradi wa maabara ya Physics na Biology wenye gharama ya Shilingi Milioni 60 ukiwa umefikia asilimia 98 ili kukamilika pamoja Mradi wa ujenzi wa vyumba 10 vya madarasa katika shule ya Sekondari Kitunda ambao ushakamilika na madarasa yakiwa yanatumika.

Sambamba na hilo Kamati iliweza kukagua ujenzi unaoendelea katika Barabara ya Ulongoni ‘A’ na ‘B’, Stendi Mpya ya Kinyerezi pamoja na ujenzi wa barabara ya Amani na Likoma zilizopo kata ya Kariakoo.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala Ndug. Abdul-Azizi Ubaya Chuma akifanya majumuisho ya ziara hiyo amesema "kimsingi kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi pamoja na matumizi ya fedha tumeweza kujiridhisha kwamba Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wameweza kusimamia vizuri miradi hii lakini ombi letu tunawaombaa waendelee kusimamia miradi hii na waweze kutatua kero ndogondogo zinazokwamisha kukamilika kwa mradi mfano katika barabara ya kilometa 7.5 ya Kinyerezi kuna mwingiliano kati ya Shirika la Reli Tanzania na bomba la mafuta TAZAMA hivyo tunawaomba Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala waweze kutatua kero hiyo ili barabara hii isikwame na ikamilike kwa wakati”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.