• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Lishe Bora Ni Muhimu kwa Ukuaji wa watoto Kimwili na Kiakili

Tarehe iliyowekwa: April 4th, 2023

Serikali ya Tanzania imedhamiria kuendelea kulipa umuhimu wa kipekee suala la lishe nchini ili kuhakikisha Tanzania inakuwa na uchumi imara kupitia maendeleo ya viwanda. “Maendeleo ya Taifa pamoja na mambo mengine, yanahitaji uwepo wa watu (nguvu kazi) wenye afya njema na lishe bora ili kuwawezesha kufanya kazi kwa bidii na Kuchochea maendeleo ya nchi."

Katika kutekeleza hilo leo Aprili 04, 2023 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia kitengo cha Afya na Lishe wameendelea kutoa elimu ya lishe kwa wananchi wa Kata ya Buguruni ikiwa ni sehemu ya kutekeleza mpango wa kutoa elimu ya lishe kwa watoto katika Kata 36 na Mitaa 159 ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha robo ya mwaka 2022/2023.

Aidha katika hafla hiyo wataalamu waliweza kupima hali ya lishe kwa watoto kuanzia miez 6 hadi miaka mitano lengo likiwa ni nikujua hali ya Afya ya watoto na kwa wale watakabainika kuadhirika na utapiamlo watapata rufaa ya kwenda kupata huduma katika kituo cha Afya anapoishi.

Akitoa mafunzo hayo ya lishe Afisa Lishe wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Neema Mwakasege amesema “Lishe bora ni kula chakula cha kutosha na chakula chenye virutubisho vyote muhimu. Lishe bora husaidia mwili kukua vyema, kuujenga mwili lakini pia huimarisha kinga ya mwili ili kuweza kupigana na magonjwa. Ili lishe iwe bora ni muhimu iwe na mchanganyiko wa Makundi sita ya chakula ambayo ni protini, wanga, fati, mbogamboga, madini, matunda na maji kwa wingi hivyo tuhakikishe tunawapa watoto mlo kamili lengo likiwa ni kupunguza udumavu na kuongeza uelewa kwa watoto wetu kwani lishe bora ndio msingi wa makuzi ya kimwili kwa watoto hawa.

Hata kama tunaanda mlo kamili tusipoandaa kwenye mazingira safi itakua ni kazi bure hivyo inabidi tuhakikishe tunaandaa vyakula hivyo katika mazingira, tunahifadhi chakula sehemu safi na salama pamoja na kuchemsha maji ya kunywa ili tukinge afya za watoto wasiadhiriwe na magonjwa nyemelezi”. Amesema Bi. Mwakasege 

Sambamba na hilo Bi. Mwakasege amewahimiza wazazi/walezi kuhakikisha wanawapeleka watoto kliniki hadi watakapofikisha miaka 5 ili kuweza kujua hali zao huku akiwataka wazazi/walezi ambao watoto wao hawajapata chanjo ya Surua wahakikishwe wanawapeleka kituo cha afya kupata chanjo hiyo ili wasije wakalemaa.

Kwa upande mwingine Afisa Ustawi kutoka Kituo cha Afya Buguruni Bi. Sophia Elias Kadonge amewataka wazazi/walezi kuhakikisha wanakata bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa ambayo inatumika kuanzia ngazi ya zahanati kituo cha afya mpaka hospitali za rufaa za Mkoa kama Hospitali ya Amana hivyo amewahimiza wazazi/walezi kukata bima ya afya iliyoboreshwa ili iweze kuwasaidia katika matibabu pindi mtu anapopata matatizo ya kiafya.

Sambamba na hilo Bi. Sophia Elias Kadoke amewataka wazazi/walezi kuwalinda watoto zidi ya ukatili wa kijinsia kwani janga hili linaonekana kuchukua nafasi kubwa sana katika Jamii zetu kwa sababu ya kukosa elimu ya namna ya kujikinga na matatizo haya hivyo amewaasa endapo mzazi/mlezi ataona dalili za ukatili au mtoto anafanyiwa ukatili ni vyema kutoa taarifa kwa maafisa ustawi ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.