• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Ludigija azindua kampeni 'Kataa Kitaa' Jijini Dar es Salaam

Tarehe iliyowekwa: June 13th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ng’wilabuzu Ludigija, leo tarehe 13 Juni, 2022 amezindua kampeni  ya “Kataa Kitaa” inayolenga kuwaondoa watoto wanaoishi mtaani ili wakaishi kwenye maeneo yaliyopangwa na Serikali. Kampeni hiyo ilizinduliwa katika eneo la Askari Monument lililopo Posta Mpya, Dar es Salaam.

“Namshukuru Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani, kwa kuimarisha huduma zinazotolewa kupitia vitengo vya maenedeleo ya jamii, jinsia, watoto na watu wanaoishi katika mazingira magumu.  Kupitia kampeni hiyo tunaweza kuibadilisha jamii kwa kuweza kuwatumia watoto hawa kutoa elimu kwa watoto wengine ili wasiendelee kuishi mtaani,” amesema Ludigija.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya alikemia tabia ya baadhi ya wazazi kuwatumia watoto hao kama chanzo cha mapato kwa shughuli za kuomba omba mitaani. “Nakemea wazazi wote wanaotumia watoto hao wa mtaani kama chanzo chao cha mapato. Tabia hii inakwaza juhudi za Serikali za kuwaondoa watoto hao mitaani,” amesema Mkuu huyo wa Wilaya.

Kampeni hiyo inatekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na taasisi ya Pink Tie Foundation na James Foundation ambao ni wadau waliojitokeza na ushauri wa kuwasaidia watoto hao kupata sehemu za kuishi, kujua vipaji vyao na mahitaji yao.

Mwakilishi wa taasisi ya Pink Tie Foundation, Lilian Mwasha alisema taasisi yao ilikusanya nguvu za kuwakutanisha watu mbali mbali kwa lengo la kuwasidia watoto hao ikiwa ni pamoja na kutoa msaada wa kisheria.

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano, Tabu Shaibu, amesema Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia kitengo chake cha Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na taasisi ya Pink Tie foundation inauunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, kuwasaidia na kuboresha ustawi wa watoto.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.