• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Madiwani na Watumishi wa Jiji la Mwanza wafanya ziara ya mafunzo Jiji la DSM

Tarehe iliyowekwa: November 7th, 2022

Waheshimiwa Madiwani pamoja na Watumishi kutoka Halmashauri yaJiji la Mwanza, leo tarehe 7 Novemba, 2022 wamefanya ziara ya mafunzo Jijini Dar es Salaam, lengo likiwa ni kuimarisha utendaji kazi pamoja na kudumishamahusiano kati ya Halmashauri hizo mbili.

 Wakiwa kwenye ziara hiyo, Waheshimiwa Madiwani na Watumishi waHalmashauri ya Jiji la Mwanza walipata fursa ya kujifunza mambo mbalimbaliikiwemo njia zinazotumiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katikaukusanyaji wa mapato, usimamizi wa miradi ya Maendeleo pamoja na eneo la Utawala Bora.

 Aidha, ziara hiyo ilianza kwa kikao kilichofanyika katikaUkumbi wa mikutano wa Arnatoglou ambapo msafara kutoka Jiji la Mwanzaulipokelewa na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Mhe. Omary Kumbilamotona Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo, Ndugu Mafuru, ambapo walipata nafasi yakujadiliana mambo mbalimbali sambamba na Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawalapamoja na timu ya Menejimenti Jiji la Dar es Salaam.

 Wakati wa uwasilishaji wa mada mbalimbali kutoka kwa Wataalm waJiji la Dar es Salaam waliwaeleza timu kutoka Jiji la Mwanza mbinu elekezikatika kuibua vyanzo mbalimbali vya mapato na kuwa kinara mara kwa mara katikaukusanyaji wa Mapato nchini na kuweza kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleokwa kutumia Mapato yake ya ndani, ikiwemo ujenzi wa masoko, shule, vituo vyaafya, barabara na hata kuwawezesha wananchi kiuchumi.

 Miongoni mwa miradi iliyotembelewa na wageni hao ni Soko laKisasa la Kisutu na Machinjio ya Kisasa ya Vingunguti,ambayo imetekelezwa kwakutumia Mapato ya ndani ya Halmashauri."Halmashauri ya Jiji la Dar esSalaam ina miradi mikubwa kulingana na uwekezaji unaotokana na Mapato kuwamazuri,pia uwepo wa miradi ya kimkakati Kama soko Kuu la Kisutu na machinjio yaKisasa ya Vingunguti imeibuliwa kutoka hatua za chini Kama ilivyo Halmashaurizingine" amesema Mchumi wa Jiji la Dar es Salaam Bw.Hando.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.