• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Madiwani, Watendaji wa Mjini Magharibi B Zanzibar wafanya ziara ya kujifunza Jijini Dar es Salaam

Tarehe iliyowekwa: June 10th, 2022

Jiji la Dar es Salaam, leo tarehe 10 Juni, 2022, limepokea ujumbe wa Madiwani na Watendaji wapatao 26 kutoka katika Halmashauri ya Mjini Magharibi B, Zanzibar waliofanya ziara ya kujifunza namna ya uendeshaji wa Serikali za Mitaa.

Ujumbe huo ulioongozwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Mjini Magharibi B Khamisi Haji, ulifika kujifunza mfumo wa ukusanyaji mapato kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato vya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, utunzaji wa mazingira, jinsi Dar es Salaam ilivyofanikiwa kuwapanga wafanyabiashara ndogo ndogo katika masoko na sheria mbalimbali zinazotumika katika utendaji kazi.

Katika ziara hiyo ya siku tatu, ujumbe huo ulitembelea Soko Kuu la Kisutu, Soko la Buguruni na Soko la Machinga Complex. Eneo jingine walilotembelea ni kituo cha uchakataji  taka taka  kilichopo Kata ya Bonyokwa.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mjini Magharibi B, Khadija Simai, amesema  kuwa wamejifunza mambo mengi  mazuri ambayo hapo awali walikuwa hawayafahamu hivyo kwa namna moja au nyingine yatabadilisha utendaji wao wa kazi na kuleta matokeo chanya katika Halmashauri yao.

“Tumejifunza mambo mengi ambayo tulikuwa hatuyafahamu hapo awali. Tumejifunza namna bora ya ukusanyaji wa mapato, usimamiaji wa masoko, usimamiaji wa sheria ndogo ndogo za ukusanyaji wa mapato, namna bora ya kuwapanga wafanyabiashara ndogo ndogo katika masoko ili iwe rahisi kukusanya ushuru na namna bora ya utunzaji wa mazingira. Nina imani haya yote tuliyojifunza tukiyaweka kwenye utekelezaji tutakuwa tumepiga hatua kubwa.” Amesema Mkurugenzi huyo.

 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imekuwa ikipokea wageni mara kwa mara kutoka ndani na nje ya nchi wanaokuja kujifunza  namna inavyotekeleza majukumu yake na kupata mafanikio makubwa katika nyanja mbalimbali kama ukusanyaji mapato.

Matangazo

  • Taarifa ya kuitwa kwenye usaili wa mahojiano nafasi ya Mtendaji wa Mtaa June 29, 2022
  • NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Taarifa ya Kuitwa kwenye usaili-Nafasi ya Mtendaji Mtaa June 19, 2022
  • Mabadiliko ya Tarehe ya Usaili Waombaji wa Nafasi ya Kazi ya Mtendaji wa Mtaa June 24, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC Ludigija Ashiriki zoezi la usafi wa mwisho wa Mwezi Julai

    June 25, 2022
  • Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam ampongeza Rais Samia kwa kufungua milango zaidi ya uhusiano na miji ya nchi za nje

    June 20, 2022
  • TASAF yatoa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Ugani Jiji la Dar es Salaam

    June 14, 2022
  • Madiwani, Watendaji wa Mjini Magharibi B Zanzibar wafanya ziara ya kujifunza Jijini Dar es Salaam

    June 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Viongozi wa Mji wa Kisumu jijini Dar es Salaam
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • TAKWIMU HURIA
  • TOVUTI KUU YA WANANCHI

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi: 0713614364

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.