• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mafunzo ya utengenezaji na uendeshaji wa tovuti za Serikali kwa maofisa Habari na TEHAMA

Tarehe iliyowekwa: March 20th, 2017

Mafunzo ya uanzishaji na uendeshaji wa Tovuti za Serikali kwa Maofisa Habari na Maafisa TEHAMA wa Halmashauri na Mikoa ya Dodoma, Singida, Iringa, Geita, Pwani, Manyara na Dar es Salaam chini ya Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Mjini Dodoma yamefunguliwa Mkoani Dodoma na mgeni rasmi, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Bi. Rehema Madenge. 

Akisoma hotuba yake, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Bi. Rehema Madenge ameeleza kwamba Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa pamoja na Wakala ya Serikali Mtandao wamesanifu Mfumo wa pamoja utakaosaidia kutengeneza na kusimamia tovuti za Serikali ambazo zitakuwa na kiwango na muonekano mmoja ambao ni rahisi wakati wa kufanya maboresho. 

Katibu Tawala ameeleza kuwa lengo la mafunzo ni kuwajengea uwezo Maafisa Habari na TEHAMA ili taarifa zinazohusu Serikali ziweze kuwafikia wananchi kwa usahihi na kwa wakati. Kiongozi wa Habari na Mawasiliano Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma “PS3”, Leah Mwainyekule akitoa maelezo ya mradi huo unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani “USAID” ujulikanao kwa Kiingereza kama “Public Sector Systems Strengthening” (PS3) ni wa miaka mitano, na utafanya kazi na Serikali Kuu pamoja na Halmashauri 93 katika mikoa 13 ya Tanzania bara katika maeneo yafuatayo:-

  1. Utawala bora na ushirikishwaji wa raia
  2. Raslimali watu
  3. Raslimali fedha
  4. Mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
  5. Tafiti tendaji

Bi. Leah amefafanua kwamba katika uboreshaji wa mawasiliano kwa umma mradi huo unashirikisha Halmashauri na Mikoa yote ya Tanzania bara kwa kuwapa mafunzo ya uendeshaji na usimamizi wa Tovuti za Serikali maafisa habari na maafisa TEHAMA wa maeneo husika.

Awamu ya kwanza ya mafunzo ya uendeshaji na usimamizi wa Tovuti za Serikali kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA ilianza kwa mikoa mitano ya kanda ya ziwa: Mwanza, Shinyanga, Mara, Kagera na Simiyu.

Awamu ya pili ya mafunzo kazi ilianza tarehe 20 Machi, 2017 katika kanda za Mikoa ya Dodoma, Morogoro, Mbeya, Mtwara na Kigoma. Mfumo wa pamoja wa utengenezaji na usimamizi wa tovuti za Serikali unatarajia kuzinduliwa ngazi ya taifa Machi 27 mwaka huu mjini Dodoma ambapo Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara na Halmashauri zake 185 zitakuwa zinapatikana katika tovuti kwa majina yao

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.