• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Ilala ampongeza Meya wa Jiji la DSM pamoja na Madiwani kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi

Tarehe iliyowekwa: December 1st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija amempongeza Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam pamoja na Madiwani katika ufuatiliaji,usimamizi na utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi katika eneo la uwezeshwaji wananchi kiuchumi.

Akihitimisha mafunzo yaliyoanza tarehe 28 Novemba 2022 na kumalizika tarehe 1 Disemba 2022 kwa majimbo yote matatu ya Ilala, Ukonga na Segerea huku siku ya kuhitimisha madiwani nao wameweza kupata mafunzo hayo.

Ludigija amesema hayo leo tarehe 1 Disemba 2022 katika kikao kazi cha madiwani pamoja na watendaji kata wa Halimshauri ya Jiji la Dar es Salaam wakiwa wanapata mafunzo juu ya mfumo wa kusajili vikundi vya vijana,wanawake na watu wenye ulemavu ili kuweza kuomba mikopo hiyo katika ngazi ya Halmashauri.

"Nimshukuru Mstahiki Meya Omari Kumbi la moto pamoja na Baraza la Madiwani kwa usimamizi na ufuatiliaji mzuri wa utekelezaji wa ilani ya Chama cha CCM katika wilaya ya Ilala hasa katika eneo la uwezeshwaji wa wananchi kiichumi, Hongereni sana"

Kikao kazi hiko kimelenga kuwapa ufahamu madiwani,wetendaji kata  pamoja na wakuu wa Idara kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ili kuweza kuendelea kusimami utekelezaji wa ilani ya chama kuweza kufikia malengo ya kuongeza kipato kiuchumi kwa wananchi wote ndani ya Halmashauri.

Aidha, Ludigija amesisitiza ushiriki wa Madiwani, Watendaji wa Kata pamoja na wakuu wa idara wote katika kupata elimu hii juu ya mfumo huu amabo utasimamia usajili wa vikundi ni hatua nzuri na bora kuweza kufikia malengo na namna pekee ya kuongrza ajira na kupunguza vijana kutegemea kuajiriwa katika sekta binafsi au serikali bali kupitia mikopo tunawapa fursa ya kujiajiri, amesema.

"Nimekuwa nikifuatilia mwenendo mzima wa uwezeshwaji wananchi kiuchumi kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani, nimeona kuna mambo mengi yanafanyika ambayo kimsingi bila ya ufuatiliaji wenu waheshimiwa pengine ufanisi ungekuwa na changamoto nyingi sana"

Katika kutekeleza Ilani ya Chama cha mapinduzi usimamizi ni muhimu na tutambue utoaji wa mikopo hii yote ni maelekezo kutoka kwa Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika utekelezaji huu wa ilani hivyo basi.

"Namshukuru na kumpongeza Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa kuona umuhimu wa kutoa mafunzo kwa watendaji mtaa,wenyeviti wa mtaa, Watendaji wa Kata, Wakuu wa Idara pamoja na madiwani kwa kuwapa mafunzo haya ya mfumo huu"

Vilevile, Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam akitumia jukwaa hilo la mafunzo kwa madiwani amesema "Nashukuru sanaa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wetu Mpendwa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa kuanzisha mfumo huu ambao unakwenda kutatua changamoto nyingi katika eneo hili la mikopo,pia madiwani tukawe mabalozi katika kata zetu kusaidia wananchi".

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.