• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

RC Makalla Awaagiza Viongozi wote wa Masoko kuhakikisha mazingira ya Sokoni yanakuwa Safi

Tarehe iliyowekwa: April 29th, 2023

Katika kuendeleza Kampeni ya Usafi 'Safisha, Pendezesha Dar es Salaam' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Amos Makalla leo tarehe 29 Aprili, 2023 ameshiriki zoezi la usafi katika kata ya Ilala ambapo usafi huo hufanywa kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi huku akiwataka viongozi wote wa Masoko huhakikisha wanasimamia usafi masokoni hasa kipindi ichi cha masika ili kuhakisha Wananchi hawaadhiriki na magonjwa ya milipuko hususani ugonjwa wa kipindupindu.

Zoezi hilo la usafi lililoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam liliwahusisha Mkuu Wilaya ya Ilala, Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Watendaji kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, wafanyabiashara wa Soko la Machinga Complex, wadau kutoka NMB Bank, Asasi mbalimbali ikiwemo Juza Waste Pickers Initiative, WEJISA company, Kajenjere Trading Company Limited, Satek Company, wanafunzi kutoka shule ya Sekondari ya Wavula Azania pamoja na wananchi wote wa Kata ya Ilala wakiongozwa na vijana wa usafi kutoka Machinga Complex.

Aidha Jiji la Dar es Salaam limekua na mvuto sana kutokana na kampeni hii na kwa sasa Mkoa huu ni wa mfano kwa Mikoa mingine katika kuhamasika kufanya hivi kwani hadi sasa Jiji la Dar es Salaam limeweza kushika nafasi ya sita Afrika kwa usafi wa mazingira.

“Swala la usafi ni lakwetu wote na sio la Mkuu wa Wilaya wala Mkuu wa Mkoa hivyo wote tuhakikishe tunatunza mazingira na zoezi hili la usafi ni la kudumu hivyo tutunze mazingira yetu na maeneo yetu tuyaweke katika hali ya usafi hivyo tujitokeze kwa wingi katika kushiriki usafi kwani Dar es Salaam ni miongoni mwa Mikoa tisa imago Fanya vizuri katika kupambana na ugoSnjwa wa Malaria hii yote ni kwasababu ya usafi hivyo tuhakikishe tunafyeka majani pamoja na kuzibua mitaro ili tutokomeze kabisa ugonjwa huu na tuendelee kuweka mazingira yetu katika Hali ya usafi.”

Sambamba na hilo aliongeza “Napenda kuwashukuru viongozi wa Machinga Compelex pamoja na Wafanya biashara wote kwa kujitoa katika kuhak ikisha Jiji letu linakua katika hali ya Usafi kwani kila Nikija Ilala lazima nikutane na ikiwa kampeni hii kwani wanajitoa sana kusafisha Jiji letu hivyo niwaombe wananchi na viongozi wengine kufuata mfano wa wananchi wa Machinga Complex”.

Pia Mhe. Makalla amewataka watendaji wa kata na mitaaa pamoja na Maafisa Mazingira wa Halmashauri kuhakikisha wanazunguka na kuangalia mitaa yote inakua safi huku akiwataka wafanya biashara wote kuhakikisha maeneo yote ya wazi yanaachwa kama alivyoagiza.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesema “Napenda kuwashukuru wadau wote wa maendeleo wanaoshirikiana nasi katika kuweka Jiji letu safi kwani jitihada zao ni kubwa sana pia nipende kutoa wito kwa viongozi wote wajitokeze kwa wingi katika kusimamia zoezi la usafi kila siku katika maeneo yao hivyo napenda kumuhakikishia Mkuu wa Mkoa kwamba tutasimamia zoezi hili la usafi kwa ukaribu zaidi na Ikitokea baadhi ya watu watakwamisha tutawashughulikia kwa mujibu wa Sheria.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.