• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Stendi ya Daladala Kinyerezi yaanza kutumika rasmi

Tarehe iliyowekwa: December 19th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija, leo tarehe 19 Disemba, 2022 ameifungua rasmi stendi ya Daladala ya Kinyerezi iliyopo katika Kata ya Kinyerezi Mtaa wa Kibaga.

Mhe. Ludigija Amesema kuwa,stendi hiyo iliyojengwa chini ya mradi wa DMDP pamoja na kipande cha barabara ya lami cha Kilomita 7.1 na Madaraja ya Ulongoni A na B, na kugharimu kiasi Cha Jumla ya Shilingi Bilioni 17.5 vimerahisisha sana huduma za usafiri Kati ya Kata za Gongolamboto, Kinyerezi, Ukonga na maeneo jirani na kata hizo hivyo kuwaondolea wananchi adha ya mawasiliano waliyokuwa wanakumbana nayo.

Aidha amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi wa stendi hiyo ambayo siyo tu umerahisisha mawasiliano bali utaongeza Mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hivyo kupata Fedha itakayotumika kutekeleza miradi mingine ya Maendeleo mfano Ujenzi wa Vituo vya afya, shule, barabara na kuongeza ajira kwa wananchi wakiwemo Madereva wa Bodaboda, bajaji, mama na baba Lishe n.k.

Pia amewaomba wananchi kuitunza kikamilifu miradi inayotekelezwa na Serikali ili iweze kudumu vizazi hadi vizazi. 

Amesema, "Ninawaomba wananchi mtumie vizuri matunda ya Rais wenu kwa kuwajengea stendi nzuri na ya kisasa ya Kinyerezi. Muitunze vizuri iweze kuwasaidia ninyi na vizazi vijavyo"

Sambamba na hayo Mhe. Ludigija  ametoa maagizo kwa wafanyabiashara wote wanaofanya biashara maeneo yasiyo rasmi ikiwemo kando ya barabara, juu ya bomba la gesi na wale wenye mpango wa kwenda kufanya biashara katika stendi hiyo mpya, wote wametakiwa kwenda kufanya biashara zao katika soko la Kinyerezi maarufu Kama mnadani.

Naye Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amempongeza Mkurugenzi wa Jiji kwa kufuata maagizo yote waliyoyatoa Jumamosi ya tarehe 17 Disemba 2022 walipofanya ziara ya kushtukiza katika stendi hiyo na kupelekea kazi ya ufunguzi wa stendi hiyo kufanikiwa kwa urahisi.

Mhe. Kumbilamoto pia amemuomba Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kusimamia Ulinzi na Usalama wa abiria katika stendi hiyo na kuhakikisha suala la Usafi linapewa kipaumbele ndani na nje ya stendi hiyo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.