• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii Jimbo la Segerea wapata mafunzo juu ya ugharibishaji wa hamasa ya huduma za chanjo

Tarehe iliyowekwa: November 9th, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Tanzania Interfaith Partinership (TIP), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ndaki ya TEHAMA pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto UNICEF leo tarehe 09 Novemba, 2023 wameendelea na mafunzo Katika Tarafa ya Segerea juu ya ugharibishaji wa hamasa ya huduma za chanjo kwa wahudumu wa afya ngozi jamii kwaajili ya watoto chini ya miaka mitano katika Jiji la Dar es Salaam.

Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Comfort uliopo Tabata Shule Jijini Dar es Salaam yaliwajumuisha Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata, Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Maafisa Afya wa Kata pamoja na watoa huduma za afya ngazi ya jamii wa Tarafa ya Segerea.

Akiongea wakati wa Mafunzo hayo Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ndaki ya TEHAMA Dkt. Hellen Maziku ameeleza kuwa “Kupitia mpango wa uwezeshaji jamii kutambua changamoto za kiafya na kuweka mikakati ya kukubaliana na changamoto hizo (HCD) tumeweza kuwahudisha wananchi moja kwa moja ili kujua tatizo ni nini katika kutekeleza afua zetu hivyo leo tumefanya mafunzo katika Tarafa ya Segerea kuwaeleza juu ya umuhimu wa chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano pamoja na kutoa maelekezo kwa watendaji hawa ambao wataenda kusimamia zoezi hili litakaloanza siku ya jumatatu tarehe 13 Novemba, 2023 ambapo kila mtoa huduma wa afya ngazi ya Kata atatakiwa kufikia nyumba 40 kwa siku na baada ya hapo naamini tutakua tumefika lengo.”

Sambamba na hilo Dkt. Maziku ameeleza kuwa baada ya kumaliza zoezi hili  wataalamu kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili watafanya tathmini ya zoezi zima kama limefanikiwa kwa kiwango gani.

Naye Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Jimbo la Segerea George Mtambalike ametoa wito kwa Wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi hili kwani chanjo ni muhimu kwa watoto na haina madhara yoyote hivyo watot ushirikiano ili zoezi liweze kufanikiwa kwa asiliia 100% katika Tarafa yetu ya Segerea na Halmashauri kwa ujumla.

Zoezi hili linatarajiwa kuanza Novemba 13, 2023 katika Jimbo la Segerea mitaa ya Segerea, Kisukuru, Kimanga, Liwiti, Kipawa, Kiwalani pamoja na Minazi Mirefu itafikiwa kwa siku tano huku mitaa ya Kinyerezi, Bonyokwa, Mnyamani, Vingunguti, Tabata, pamoja na Buguruni ikifikiwa kwa siku kumi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.