• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wakazi wa Jiji la DSM wahimizwa kupanda miti kwa wingi na kuacha kutupa taka hovyo

Tarehe iliyowekwa: June 3rd, 2024

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam imehimizwa kupanda miyi kwa wingi pamoja na kuacha kutupa taka ovyo lengo likiwa ni kupendezesha Jiji pamoja na kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama Kipindupindu.

Wito huo umetolewa na Afisa Tawala wa Wilaya ya Ilala Flora Mgonja kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala wakati aliposhiriki katika Mdahalo wa utoaji elimu kuhusu utunzaji wa mazingira leo Juni 3, 2024 katika Ukimbi wa Karimjee Jijini humo ikiwa ni muendelezo wa matukio yanayofanywa na Jiji la Dar es Salaam katika kuelekea siku ya Mazingira Duniani ambayo huadhimishwa Juni 5 ya kila Mwaka ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘Urejeshwaji wa Ardhi, Ustahimilivu wa hali ya Jangwa na ukame’

Akizungumza na Wadau, Wanafunzi, watumishi kutoka Jiji la Dar es Salaam pamoja na wananchi wote walioshiriki katika mdahalo huo Bi. Mgonja Amesema “Pamoja na Serikali kuboresha huduma za afya ila suala la utunzaji wa mazingira na usafi ni wakila mmoja hivyo tuwajibike katika kutunza mazingira yetu kila mmoja awe balozi wa Mwenzake, mdahalo huu uwe endelevu tusisubiri hadi wiki ya mazingira ndo tuanze kufanya midahalo ya mazingira inabidi muweke mashindano katika ngazi za Kata ili kuhamasisha Wananchi kupanda miti na kutunza mazingira pia napenda kulipongeza Jiji la Dar es Salaam kwa kuhakikisha mnaboresha mazingira ya Jiji letu kwa kupanda miti, kuweka perving pamoja na kuhamasisha zoezi la usafi kila mwezi kwa wananchi”.

Aidha, Bi. Mgonja ameendelea kusema Kaulimbiu ya Madhimisho ya siku ya Mazingira duniani inaakisi suala zima la upandaji miti na hivyo kutoa wito kwa Wananchi kupanda miti kwa wingi ili kupendezesha Jiji pamoja na kukabiliana na athari za Kimazingira.

Halikadhalika, Bi. Mgonja amewataka Wadau wa Mazingira washirikiane na Serikali kuhakikisha wanatunza mazingira kwa kuwa mabalozi wa kulinda mazingira na kuhakikisha hawatupi taka ovyo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Tabu Shaibu ameeleza kuwa kama sehemu ya maadhimisho ya Mazingira Duani, Jiji la Dar es Salam limefanya shughuli mbalimbali za kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji wa mazingira pamoja na utupaji taka holela huku akiahidi kampeni hii ya usafi kuwa desturi kwa wananchi wa Ilala ili kuboresha mazingira kwa afya na ustawi wa wananchi hao.

Aidha wadau Mbalimbali waliochangia mada katika mdahalo huo waliweza kuhimiza suala la elimu, uzalendo na nidhamu kwa wananchi katika utunzaji wa mazingira.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.