• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

"Wana DSM tupime afya zetu" RAS Rugwa

Tarehe iliyowekwa: December 1st, 2021

Na: Rosetha Gange

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es salaam Ndg. Hassan Rugwa ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es salaam kupima afya zao mara kwa mara ili waweze kuzijua afya zao na hatimaye waweze kutokomeza UKIMWI na magonjwa ya mlipuko.Ndg. Rugwa ameyasema hayo alipomwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani ambayo kwa Mkoa wa Dar es salaam yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Miembeni iliyopo Kata ya Vingunguti, Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam.

Kwa mwaka huu wa 2021 maadhimisho hayo yamebeba kauli mbiu isemayo ‘Zingatia usawa, tokomeza UKIMWI, tokomeza magonjwa ya mlipuko’ ambapo inasisitiza ushiriki na ushirikishwaji wa jamii katika shughuli za kudhibiti UKIMWI kuanzia kwenye upangaji wa mikakati, upatikanaji na utoaji wa huduma za VVU na UKIMWI ndani ya Mkoa wa Dar es salaam, hivyo wote kwa pamoja tunao wajibu wa kushirikiana kuhakikisha tunatokomeza UKIMWI na magonjwa yote ya mlipuko kwa kuzingatia maagizo yote tunayopewa na wataalamu wa afya.

Aidha Ndg. Rugwa anasema “Tuzingatie elimu tunayopewa, tuendelee kubadili tabia na mila zinazochochea maambukizi ya VVU ili tuendelee kulinusuru Taifa letu na familia zetu na kuepuka unyanyapaa, unyanyasaji na ubaguzi kwani hivi vinakwamisha jitihada za Serikali na wadau katika kupambana na VVU".

Pamoja na hayo Ndg. Rugwa amesema kuwa katika Mkoa wa Dar es salaam shughuli mbalimbali zimekuwa zikifanywa katika kupambana na VVU na UKIMWI ikiwemo kutoa elimu ya kujikinga dhidi ya maambukizi mapya ya VVU kwa jamii na makundi yaliyo katika mazingira hatarishi, kupunguza unyanyapaa na vitendo vya unyanyasaji na ubaguzi unaohusiana na maambukizi ya VVU, kutoa ushauri nasaha pamoja na kupima VVU kwa hiari, kuzuia maambukizi kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto, kutoa tiba ya magonjwa nyemelezi, kutoa dawa za kufubaza VVU n.k.

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani hufanyika kila ifikapo tarehe 1 Desemba na kwa mwaka huu yameadhimishwa Kitaifa katika Jiji la Mbeya ambapo kauli mbiu iliyosindikiza maadhimisho haya nchini kote ni Zingatia Usawa, Tokomeza UKIMWI, Tokomeza Magonjwa ya Mlipuko.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.