• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wananchi wahimizwa kuendelea kujiandikisha kwenye Daftari la Makazi

Tarehe iliyowekwa: October 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo leo Oktoba 16, 2024 amepita Mtaa kwa Mtaa kuhamasisha wananchi  kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la makazi ambalo lilifunguliwa Oktoba 11, 2024 na litadumu mpaka tarehe 20 Oktoba 2024 ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa ifikapo Oktoba 27, 2024.

Wakati wa ziara hiyo, Mhe. Mpogolo alitoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa Serikali za Mitaa huku akiwaeleza wananchi hao tofauti kati ya Daftari la mpiga kura wa Serikali za Mitaa na daftari la kudumu la mpiga kura kwani katika daftari la Serikali za Mitaa mwananchi mwenye sifa za kupiga kura anaenda kujiandikisha katika daftari la makazi la mtaa husika na hamna kadi yoyote inayotolewa.

"Ili uweze kumchagua kiongozi bora na atakayeleta mabadiliko katika Mtaa wako ni lazima ujiandikishe kwenye daftari la Makazi ili ifikapo Novemba27, 2024 ushiriki kupiga kura hivyo niwaombe mjitokeze kwa wingi kujiandikisha kwa hizi siku 4 zilizobaki ili muweze kumpigia kura kiongozi bora lakini pia nitoe rai kwa watu wote wanaozuia wananchi kujiandikisha kwa sababu zozote zile kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa nawatawajibishwa." Amesisitiza Mhe.Mpogolo.

Katika hatua nyingine, Mhe. Mpogolo amewaeleza wananchi juu ya Mikopo ya asilimia 10% kwa Vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu huku akiwasisitiza wafanya biashara ndogondogo pamoja na viajana wa bodaboda kuchangamkia fursa hiyo kwani muongozo mpya wa utoaji mikopo kwa njia ya kibenki unaweza kukopa kuanzia laki tani hadi milioni mia hamsini na hauna riba.

Aidha, Mhe. Mpogolo katika ziara yake ya Mtaa kwa Mtaa aliambatana na Maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda wa Wilaya ya Ilala pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ambapo waliweza kutembelea Mitaa ya Kamata, Vingunguti, Banana, Kitunda, Kivule sokoni, Kivule fremu 10, Msongola, Chanika pamoja na Gongolamboto






Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.