• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Baraza la Madiwani Jiji la DSM lapitisha Taarifa ya Utendaji Kazi kwa Kipindi cha Robo ya Nne (Aprili hadi Juni 2023).

Tarehe iliyowekwa: August 31st, 2023

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, leo tarehe 31 Agosti, 2023 limefanya kikao chake cha kawaida cha kupitisha na kujadili taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023 kuanzia mwezi Aprili hadi Juni 2023.

Kikao hicho kilichoongozwa na Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam kiliweza kupitia taarifa za utekelezaji wa majukumu ya Kamati ya Fedha na Utawala, Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii, Kamati ya Mipango Miji na Mazingira pamoja na Kamati ya Kuthibiti UKIMWI kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2023 lengo likiwa ni kujiridhisha juu ya utendaji kazi wa kamati hizo.

Sambamba na hilo, Kamati ya Mipango Miji na Mazingira kupitia Divisheni ya Miundombinu Kamati imeweza kusimamia ukaguzi na utoaji wa vibao vya ujenzi vipya 182 na vibali 74 vya ukarabati huku Idara ikitoa notisi 44 kwa watu waliojenga bila ya kuwa na vibali vya ujenzi pamoja na kutatua migogoro ya Ardhi na mipaka katika Mitaa na Kata mbalimbali za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Akitoa maelekezo kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Mbala Shitindi amesema “Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ni Taasisi ya Bima ya Afya ya Jamii iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Taifa ya Bima ya Afya, Sura ya 395 kwa lengo kuu la kuhakikisha upatikanaji wa huduma za afya kwa watu”.

Aidha, Bw. Shitindi ameendelea kusema Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) una kifurushi cha mafao ya kuvutia ambacho hutolewa kwa walengwa wake kupitia vituo vya afya vilivyoidhinishwa nchini kote. Mfuko huu una jumla ya mafao kumi na moja (11) ambayo hutolewa kwa walengwa kulingana na Miongozo ya Kawaida ya Tiba iliyotolewa na Wizara ya Afya pamoja na kanuni za Mfuko huku akieleza baadhi ya magonjwa ambayo Bima ya Afya haigharamikii kwakua ziko chini ya Serikali ikiwemo matibabu ya Kifua Kikuu pamoja, Chanjo pamoja na huduma nyingine ambazo hazipo kwenye kifurushi husika.

Pia, Bw. Shitindi ameeleza Baraza la Madiwani kuwa kwa upande wa Vifurushi ambavyo havipo kwenye kifurushi cha muhusika Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wanajukumu la kuingia Mkataba na Mwajiri ili kuweza kubadilisha kifurushi.

Aidha, Baraza liliridhia na kupitisha taarifa hiyo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.