• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Mpogolo awataka wafanyabiashara kuwa wazalendo

Tarehe iliyowekwa: June 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka Wafanyabiashara wa Kariakoo kuwa wazalendo kwa kuhakikisha wanashirikiana na Serikali kuwapanga wafanyabiashara ndogondogo (machinga) katika maeneo sahihi bila kuzuia biashara nyingine na njia za watembea kwa mguu pamoja na kuwatambua wafanyabiashara wote ambao sio machinga ila wameweka meza kama machinga kwa lengo la kukwepa kodi.

Mhe. Mpogolo ametoa maagizo hayo leo Juni 13, 2024 wakati wa kikao kazi na Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo kilichofanyika a katika ukumbi wa Arnatouglou Jijini Dar es Salaam kilicholenga kuwasilisha kero za wafanyabiashara hao.

Akiongea na Wafanyabiashara hao Mhe Mpogolo amesema “Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nina wajibu wa kusimamia na kushiriki katika kutatua changamoto zenu zinazowakabili kwani changamoto zote nimezichukua na nitakwenda kuzisimamia ziweze kutekelezwa kwa wakati zaidi hivyo niwaombe muwe watulivu kwani Serikali yetu iliyoko Chini ya Rais wetu Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sikivu na inawajali wafanyabiashara itahakikisha changamoto hizi zinatatuliwa kwani tumeanza kuweka taa baadhi ya maeneo ili kuhakikisha biashara zinafanyika masaa 24. Pia, niwaombe Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuendelea kutoa elimu ya kodi kwa wafanyabiashara ili kutengeneza ufahamu kwa wafanyabiashara lakini pia niwatake Jeshi la Polisi wafuate maelekezo ya Waziri Mkuu ambayo aliyatoa juu ya kamatakamata”.

Sambamba na hilo, Mhe. Mpogolo amewapongeza Wafanyabiashara kwa kuwa walipa kodi wazuri kwa Serikali huku akiwataka kuendelea na vikao vya mara kwa mara ambavyo vitakua na matokeo chanya ya kujenga pamoja na kukumbushana yote yanayosahaulika bila kusahau kukumbushana kujisajili.

Awali wakiwasilisha kero kwa Mhe. Mpogolo, wafanyabiashara wa Kariakoo wameeleza kuwa wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) ni lango la kutorosha mapato ya serikali, kwa kuwa kuna wafanyabiashara wakubwa Karikaoo ambao wamekuwa wakifunga maduka na kusambaza mizigo yao kupitia wamachinga huku wakionyesha kutoridhishwa na namna Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inavyowatendea hasa kwenye ushuru.

Akitoa Shukrani zake kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo Ndg. Martin Mbwana amesema “Nipende Kukushukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuitikia wito wetu na kuja kuongea na sisi ila ningeshauri kwamba hatua madhubuti zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali ya wamachinga ambao wamekua wakikwepa kodi."

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.