• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

"Tusikubali kutumika, tulinde amani yetu" - Simbachawene

Tarehe iliyowekwa: November 29th, 2025

Na: Shalua Mpanda

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa George Simbachawene amewasihi watanzania kudumisha amani na kutoruhusu watu wachache kuvuruga kuvuruga amani hiyo.

Ametoa wito huo wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Vingunguti katika "Usiku wa Nyamachoma" ulioandaliwa na Diwani mteule wa Kata hiyo Omary Kumbilamoto katika Soko la Nyamachoma-Kumbilamoto jana.

Mhe. Sinbachawene amewataka wakazi hao wa Vingunguti na watanzania kwa ujumla kutokukubali kugombanishwa kwa itikadi za vyama, dini au matabaka bali watangulize maslahi ya Nchi kwanza.

"Amezungumza hapa mheshimiwa Diwani Kumbilamoto kuhusu miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali kwa gharama kubwa, halafu kinatokea kikundi cha watu wanaenda kuiharibu, hizi ni kodi zetu wenyewe na tutakuja kuwabebesha mzigo wa madeni watoto wetu na vijana wetu baadae". Alisisitiza

Awali akimkaribisha Mhe. Waziri, Diwani mteule wa kata ya Vingunguti Mhe. Kumbilamoto alimueleza Waziri huyo kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam imetekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo kwa kipindi cha utawala wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hivyo wananchi hawana budi kuitunza miradi hiyo huku akiwataka kudumisha amani kwa kuwa ndio sifa kuu ya watanzania.

Usiku huo wa nyama choma ulisindikizwa na burudani mbalimbali ambapo Waziri huyo wa Mambo ya Ndani alishiriki burudani hiyo na kuwa kivutio kwa wakazi hao wa Vingunguti.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZA WAPIGA KURA UCHAGUZI MKUU 2025 October 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tusikubali kutumika, tulinde amani yetu" - Simbachawene

    November 29, 2025
  • Jiji la DSM lashiriki Maonesho ya 25 ya Wajasiriamali nchini Kenya

    November 15, 2025
  • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana yapokea gari la kubebea wagonjwa na vifaa tiba

    October 21, 2025
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ataka vijana kupewa nafasi

    October 10, 2025
  • Angalia zote

Video

WAJASIRIAMALI TOKA HALMASHAURI YA JIJI LA DSM WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAWEZESHA KUSHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA KATIKA MJI WA YIWU NCHINI CHINA
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.