• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Ujumbe wa Wageni kutoka Jiji la Chongqing Nchini China waitembelea Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

Tarehe iliyowekwa: November 15th, 2023

Ujumbe wa wageni kutoka Jiji la Chongqing nchini China leo tarehe 15 Novemba, 2023 ukiongozwa na Naibu Meya Bw. Shang Kui pamoja na wajumbe wengine 9 umeitembelea Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kufanya kikao na baadhi ya wajumbe kutoka Idara za Elimu Sekondari, Idara ya Ijenzi pamoja na Idara ya Biashara. 

Katika mazungumzo hayo, ujumbe kutoka Chongqing umeonesha dhamira ya dhati ya kuimarisha urafiki na Jiji la Dar es Salaam pamoja na kuimarisha huduma za Wananchi hususani eneo la elimu kuanzia ngazi ya awali mpaka chuo kikuu, ujenzi wa miundombinu pamoja na kuimarisha huduma za afya.

Mbali na hayo, ujumbe huo umeeleza kwamba wako tayari kushirikiana na Jiji la Dar es Salaam katika kuboresha huduma za wananchi huku wakisisitiza kuimarisha huduma za Wananchi katika maeneo ya uwekezaji na biashara kwani kwa upande wao wanashughuli wanapofanya jijini Dar es Salaam ambazo huboresha maisha ya Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam.

Sambamba na hilo wamemshukuru Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam kwa kuwapokea huku wakiomba ziara hii isiwe mwisho ifanyike katika Majiji yote mawili ambapo wamewataka viongozi wa Jiji la Dar es Salaam Mei 2024, kufanya ziara katika Jiji la Chongqing kwani mwezi huo kuna warsha zinazofanyika Jijini humo kwa Nchi ya China na Nchi nyingine za Kirafiki hivyo ujio huo utapelekea Jiji la Chongqing kutambulisha ujumbe kutoka Jiji la Dar es Salaam.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu aliweza kutoa shukrani zake kwa wageni hao huku akiahidi kushirikiana nao katika kuboresha huduma za kijamii kwa wananchi wa Jiji la Dar es Salaam.

Aidha, Urafiki huu utasaidia kubadilishana ujuzi na uzoefu na kuiwezesha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika kutekeleza azma ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kukuza uchumi wa nchi yetu katika maendeleo ya sekta ya biashara na uwekezaji pamoja na kuboresha huduma za Wananchi katika sekta ya Elimu na Afya.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.