• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Maafisa Ustawi wahimizwa kutoa Elimu kwa jamii juu ya maswala ya Ukatili wa kijinsia

Posted on: August 6th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila amewahimiza maafisa ustawi kuhakikisha wanatoa elimu kwa Jamii juu ya masuala ya ukatili wa kijinsia na kuhakikisha wanakemea vitendo hivyo, hayo ameyabainisha Leo Agosti 6,2024 wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Maafisa Ustawi wa Jamii Mkoa unaofanyika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam ambao unatarajiwa kuhitimishwa Agosti 7, 2024 lengo likiwa ni kutoa fursa kwa Maafisa Ustawi wa Jamii kubadilishana uzoefu, kujifunza na kuunda mtandao wa ushirikiano ambao utasaidia katika kuboresha huduma za kijamii nchini pamoja na kukemea vikali vitendo vya  ukatili wa kijinsia na taharuki za utekaji zisizo za kweli zinazoendelea kwenye jamii.

Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Mhe. Chalamila ameeleza kuwa Sekta ya Ustawi wa Jamii ni sekta muhimu sana kwa Jamii kwani inamuhusu mwananchi moja kwa moja hivyo kutokana na umuhimu wa sekta hiyo kumesababisha kuanzishwa kwa vyombo vya habari kwakua dunia ya sasa mambo mengi yanayoendelea huonekana sana mtandaoni hivyo, vyombo hivi vya habari vitakuwa ni chanzo cha kufikisha taarifa na elimu kuhusu ustawi wa jamii kwa wakati husika.

Sambamba na hilo, Mhe. Chalamaila amezindua channel maalum ya mtandaoni ya ustawi wa jamii iitwayo "Ustawi wa Jamii Dsm Digital" iliyoambatana na kukabidhi vifaa vya kuchakata habari ikiwemo kompyuta mpakato (laptop), kamera na vifaa vingine vitakavyotumiwa na vitengo vya ustawi wa jamii katika Halmashauri za Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam.

Halikadhalika, Mhe. Chalamila amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii kufanya kazi kwa bidii na weledi mkubwa ili kuhakikisha huduma bora zinawafikia wananchi wote huku akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kutoa ushirikiano na rasilimali muhimu kwa maafisa hao ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Aidha, Mhe. Chalamila alikabidhiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika ustawi wa jamii na kupata fursa ya kutoa tuzo kwa Katibu Tawala wa Mkoa Dkt. Toba Nguvila, Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Mohammed Mang'una pamoja na viongozi wengine kwa kutambua mchango wao katika sekta hiyo.

Awali Akiongea kwa Niaba ya Wakurugenzi wote wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Tabu Faith Shaibu amewahimiza Maafisa Ustawi wote wa Mkoa kuhakikisha wanatumia vizuri fursa hiyo ya vyombo vya habari kwani vyombo vya habari ni muhimili muhimu sana katika kuhabarisha Umma.

“Hatua hii ni muhimu sana kwa kutambua vyombo vya Habari kwani kupitia vyombo hivi naamini watu watapata elimu ya kutosha na sisi tutao ushirikiano wetu kuhakikisha jambo hili linafanikiwa katika Mkoa wa Dar es Salaam pia niwasihi Maafisa Ustawi wa Jamii  kutumia fursa hii kwani vyombo vya habari ni muhimili mkubwa wa kutoa taarifa kwa umma hivyo tuvipe kipaumbele ili tuweze kufikia lengo hivyo tunatoa Shukrani zetu kwa Mkuu wa Mkoa kutuzindulia vyombo hivi hivyo tupo tayari kupokea maelekezo yako ili kuleta ufanisi katika Mkoa wetu wa Dar es Salaam”. Amesema Bi. Shaibu.



Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.