• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Wakazi wa Jiji la DSM wahimizwa kutumia Nishati Mbadala ya Kupikia

Posted on: June 4th, 2024

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wahimizwa kutumia nishati mbadala ya kupikia lengo likiwa ni kuunga Mkono Juhudi za Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya utunzaji wa mazingira, Wito huo umetolewa na Afisa Tawala wa Wilaya ya Ilala Bi. Flora Mgonja kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala wakati aliposhiriki katika maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani kwa Wilaya ya Ilala yaliyofanyika leo Juni 4, 2024 katika Viwanja vya MnaziMmoja Jijini humo yenye lengo la kuhamasisha jamii juu ya matumizi ya Nishati mbadala ikiwa ni muendelezo wa matukio  yanayofanywa na Jiji la Dar es Salaam katika kuelekea siku ya Mazingira Duniani ambayo huadhimishwa Juni 5 ya kila Mwaka ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘Urejeshwaji wa Ardhi, ustahimilivu wa hali ya Jangwa na ukame’.

Akizungumza na Wadau pamoja na wananchi wote walioshiriki katika maadhimisho hayo Bi. Mgonja Amesema “Ninyi nyote mnafahamu ajenda ya Mhe. Rais ya kuhamasisha umuhimu wa nishati mbadala ili kuendana na changamoto ya mabadiliko ya tabia ya nchipamoja na changamoto za mazingira kwa ujumla. Hii ni ajenda ambayo Mhe. Rais ameibeba kwa dhati kabisa kuhakikisha tunaanza mchakato wa kuelimisha Watanzania ili kuondokana na nishati ambazo sio rafiki kwa mazingira, na kutumia zilizo rafiki kwa mazingira ili kutunza mazingira yetu na afya kwa ujumla.”

Sambamba na hilo, Bi. Mgonja ameendelea kusema Kaulimbiu ya Madhimisho ya siku ya Mazingira duniani inaakisi suala zima la utunzaji wa mazingira kwa kutumia nishati mbadala huku akiwataka wananchi hao kutekeleza kauli mbiu hiyo kwa vitendo wakianzia katika ngazi za familia bila kusahau kutumia nishati mbadala ili kulinda afya na ustawi wa mazingira kwa ujumla.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Taka Ngumu na Usafishaji Bw. Rajabu Ngoda ameeleza kuwa ameeleza kuwa matukio haya yanayofanywa na Jiji la Dar es Salaam kuelekea maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani yamekua chachu ya kuleta mafanikio zaidi kwa Jiji la Dar es Salaam kuwa Safi kwani wananchi wameonekana kujitokeza kwa wingi katika matukio yaliyoanza kufanyika tarehe 30 ikiwemo zoezi la usafi, bonanza la michezo pamoja na midahalo juu ya utunzaji wa mazingira huku akiwataka wadau kushirikiana na Jiji la Dar es Salaam kutunza mazingira na kushikamana kufanya usafi kwa afya za wananchi wake.

Aidha,  katika Hafla hiyo vyeti vya shukrani vilikabidhiwa kwa wadau mbalimbali ikiwa ni kutambua Mchango wao katika utunzaji wa mazingira kwa Jiji la Dar es Salaam.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.