• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Bilioni 6.2 kujenga Barabara Jiji la Dar es Salaam

Tarehe iliyowekwa: June 2nd, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam leo tarehe 2 Juni, 2023 imesaini Mikataba ya Ujenzi wa Barabara ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kuzitaka kila Halmashauri Nchini Zitenge asilimia Kumi za Mapato ya Ndani kwaajili ya Uboreshaji wa Miundombinu.

Katika hafla hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuzidi kuipa kipaumbele Wilaya ya Ilala amesema “Tunamshukuru sana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mpaka leo tunaona utiaji saini wa Shilingi Bilioni 6.2 kwa ajili ya Ujenzi wa barabara.

Halmashauri imetenga shilingi Bilioni 6.2 kama asilimia 10% ya mapato ya ndani katika kuteleza maagizo ya Mheshimiwa Rais na leo tumesaini mikataba ya shilingi Bilioni 5.8 kwa ajili ya ujenzi wa barabara katika majimbo matatu. Jimbo la Ukonga barabara ya Pugu - Majoe (mita 400) kitunda- Kivule (mita 500) Mwanagati - Mpalange (mita 500) jumla kilomita 1.4.

Katika jimbo la Ilala barabara za Nyati, Rufiji, mchikichini zitajengwa kwa kiwango cha lami, Mtendeni kwa kiwango cha zege ambapo gharama ni Bilioni 1.9 pia kwa upande wa Kifuru - Majoka kutakua na ujenzi wa Karavati litakalogharimu shilingi Milioni 650."

Pia Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Mpogolo amesisitiza kuwepo wa kulegalega kwa kazi kutokana na kufanya kazi kwa kujuana kwa sasa hilo suala halipo “Wito wangu kwa Upande wa TARURA tusimamie kwa umakini zaidi na kwa kushirikiana kwa kiasi kikubwa kwa upande wangu nitakuwa kila siku ninahakikisha tunasimamia miradi hii na kwa kipindi cha miezi sita kuona miradi hii inamalizika kwa wakati"

Naye, Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amemshukuru Rais na kuomba kwa Mkuu wa Wilaya kufikishia salamu kwa Rais wetu Mpendwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa “Tunamshukuru sana kwa kupunguza madaraka kwa TARURA juu ya Uendeshaji wa Shughuli hizi za Ujenzi hapo awali TARURA walipewa majukumu makubwa lakini kwa sasa Halmashauri tumeweza kutafuta wakandarasi na kuweza kufuata taratibu zote kupitia Mifumo mpaka leo tunasaini Mkataba”

Pia, Mstahiki Meya amempongeza Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kuweza kutenga fedha hizi pamoja na ushirikiano wake katika kuwahuisha wabunge na madiwani “Nampongeza sana Mkurugenzi na timu yake kwa kazi kubwa unayoifanya na kwa ushirikiano mkubwa unaouonesha kwa Madiwani, wabunge kuweza kufanikisha jambo hili”

Sambamba na hilo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala Ndugu. SaidiSidede amesisitiza upatikani wa ajira kwa vijana sambamba na kudumisha usalama mali na vifaa katika maeneo ya ujenzi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.