• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Dar es Salaam-Busan kuanzisha Uhusiano wa Miji Dada

Tarehe iliyowekwa: February 24th, 2023

Jiji la Dar es Salaam na Jiji la Busan nchini Korea Kusini yanatarajiwa kuanzisha uhusiano wa miji dada ifikapo mwezi Mei, 2023. Azimio la kuanzishwa kwa uhusiano huo lilipitishwa tarehe 24 Februari, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Karimjee wakati mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa Mamlaka ya Jiji la Busan, na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Katika mkutano huo, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mhandisi Amani Mafuru, alisema kuwa uamuzi wa kuanzisha uhusiano huo unatokana na juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dr. Samia Suluhu Hassan, kwa kufungua milango ya uhusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi za nje.

"Tunamshukuru Rais wetu, Mheshimiwa Dr. Samia Suluhu Hassan, kwa kufungua milango na nchi za nje na kutumwezesha kuanzisha uhusiano na Jiji la Busan ambalo ni la pili kwa ukubwa nchini Korea Kusini," alisema Mhandisi Mafuru.

Kiongozi wa ujumbe wa watu wanne kutoka katika Mamlaka ya Jiji la Busan, Hwang Youngha, ambaye ni Mkurugenzi wa Diplomasia na Biashara alisema kuwa Jiji la Busan linapenda kutumia fursa ya kuanzishwa kwa uhusiano huo kushirikiana na Jiji la Dar es Salaam kuboresha na kuimarisha huduma katika sekta mbalimbali.

Sekta zilizojadiliwa na kukubalika na pande zote mbili ni elimu, afya, utalii, huduma za bandari, uvuvi na teknolojia ya habari na mawasiliano. Sekta zingine ni uboreshaji wa mazingira, udhibiti wa taka ngumu, ujenzi wa makazi ya kisasa, biashara na ziara za kujifunza namna ya kuimarisha ufanisi katika sekta mbalimbali.

Kabla ya mkutano huo uliokuwa na uwakilishi kutoka Ubalozi wa Korea Kusini nchini Tanzania, Mamlaka ya Bandari Tanzania, Wakala wa Meli na Vivuko Tanzania na wakuu wa Idara na vitengo wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, ujumbe huo wa kutoka Jiji la Busan ulipata fursa ya kukutana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Amos Makala anbaye aliridhia kuanzishwa kwa uhusiano wa miji dada kati ya Jiji la Dar es Salaam na Jiji la Busan.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.