• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri ya Jiji la DSM yaadhimisha Wiki ya Upandaji Miti kwa lengo la kutunza mazingira

Tarehe iliyowekwa: March 25th, 2025

Na: Doina Mwambagi

 Katika kuadhimisha Wiki ya Upandaji Miti, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeendelea kutekeleza juhudi za uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti katika maeneo mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya mpango endelevu wa kuhakikisha mazingira yanabaki salama kwa kizazi cha sasa na kijacho.

Maadhimisho hayo ya wiki ya upandaji miti yamefanyika Leo tarehe 25 Machi 2025 katika shule ya msingi Uhuru mchanganyiko iliyopo Jijini humo.

Akiongea  na wanafunzi, walimu na wadau wa mazingira mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Kishe Adrian amesema anatambua jitihada zinazofanywa na Halmshauri ya Jiji la Dar es salaam katika kutunza mazingira kwa kuhamasisha wananchi matumizi ya nishati safi ya kupikia na kupanda miti

“Nawasihi tuendelee kutunza miti tuliyoipanda kwa sababu ni urithi wa kizazi kijacho. Tunapanda miti leo kwa ajili ya mustakabali wa baadaye.” Ndg. alisema Kishe.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bi Tabu Shaibu  amesema Katika kuunga mkono juhudi za uhifadhi wa mazingira, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inaendelea kusisitiza umuhimu wa upandaji na utunzaji wa miti kwa manufaa ya sasa na ya baadaye. Kupitia kaulimbiu “Ongeza thamani ya mazao ya misitu kwa uendelevu wa rasilimali kwa kizazi hiki na kijacho,” Jiji limejizatiti kuhakikisha miti inapandwa na kuhifadhiwa si tu kwa ajili ya kutoa hewa safi, bali pia kwa kuongeza thamani ya mazao yatokanayo na misitu kama mbao, matunda, na mimea dawa. Jitihada hizi zinahakikisha kuwa rasilimali za misitu zinatumika kwa uangalifu, huku kizazi cha sasa kikifaidi na pia kuwaachia urithi endelevu wale watakaokuja baadaye.

Awali akisoma risala kwa mgeni rasmi mkuu wa kitengo cha  maliasili na uhifadhi wa mazingira Bi Teresia Denis amesema  Halmashauri ya Jiji kwa miaka mitatu 2022-2025 imefanikiwa kupanda miti  zaidi ya 2,149,601 katika maeneo mbalimbali ikiwemo shule, magereza, bonde la moto msimbazi na ufukweni.

Halmashauri ya Jiji imeahidi kuendelea kutekeleza mpango huu ili kufikia malengo yaliyowekwa na serikali, huku ikiwahimiza wananchi kushiriki kikamilifu katika juhudi hizi za kutunza mazingira kwa faida ya vizazi vijavyo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.