• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jiji la DSM lakabidhi bajaji na vipimo vya urefu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano

Tarehe iliyowekwa: May 17th, 2024

Katika kutekeleza mkataba wa lishe ngazi ya Wilaya, Halmashauri ya Jiji la DSM leo Mei 17, 2024 imefanya halfa fupi ya kukabidhi bajaji 5 zenye thamani ya shilingi milioni arobaini na tano (45,000,000) ambazo zitasaidia kufanya ufuatiliaji wa lishe, mazingira na afya kwa mama na mtoto pamoja na vibao vya kupimia urefu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano vyenye thamani ya milioni ishirini na mbili (22,000,000).

Akiongea wakati wa kukabidhi vitendea kazi hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo amesema “Kipekee napenda kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha huduma za afya kwa wananchi, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa miundombinu ya Afya kwani ametoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa vituo vikubwa viwili vya afya ambavyo ni Mchikichini chenye thamani ya Bilioni Tano na Kituo cha Afya Mzinga chenye thamani ya Bilioni 2.7, Lengo likiwa ni wananchi wapate huduma za Afya katika maeneo ya karibu."

Sambamba na hilo, Mhe Mpogolo amesema kuwa ili uweze kutoa huduma na Elimu ya Afya na lishe katika maeneo mbalimbali ni lazima uwe na vitendea kazi ambavyo ni usafiri hivyo Halmashauri ya Jiji la DSM kupitia kwa Mkurugenzi wametenga fedha kwaajili ya kununua bajaji 18 ili ziweze kurahisisha utoaji wa Elimu hasa katika masuala ya lishe kwa wananchi wa Wilaya ya Ilala.

Aidha, Mkurugenzi wa jiji la DSM Jomaary Satura amesema “Taifa letu ili tuwe na maendeleo inatupasa kusimamia  rasilimali watu kwa kutoa Elimu ya lishe katika Jamii hasa kwa watoto tangu akiwa tumboni hadi kufikia umri wa miaka 5 ili kuepuka udumavu wa akili, hivyo tunagawa bajaji na vibao hivi kwa wataalamu wa lishe ili waweze kumsimamia mtanzania kuimarisha Afya yake na awe na uwiano sawa wa akili (maarifa) na umri wake."

Awali akisoma taarifa ya uzinduzi wa bajaji na vibao vya kupima urefu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, Mganga Mkuu wa Jiji la DSM Dkt. Zaituni Hamza amemshukuru Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kwa kuendelea kutoa fedha kwaajili ya afua za lishe na kuahidi kuendelea kutekeleza majukumu kwa weledi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.