• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Jiji la DSM yafanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo

Tarehe iliyowekwa: October 25th, 2022

Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, leo tarehe 25 Oktoba, 2022 imefanya ziara ya kawaida ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2022 /2023 ulioanzia Julai hadi Septemba 2022.

Wakiwa kwenye ziara hiyo, kamati iliweza kutembelea na kukagua miradi mitatu (3) ikiwemo ujenzi wa Kituo cha Afya cha Zingiziwa, ujenzi wa kituo cha afya Kinyerezi pamoja na ujenzi wa madarasa ya ghorofa yanayojengwa kwenye shule mpya ya Sekondari Liwiti.

Aidha, ujenzi wa  Kituo cha afya Zingiziwa unagharimu kiasi cha shilingi Milioni 500  ambapo ukenzi huo ukiwa umefikia hatua ya ukamilishaji huku ujenzi wa Jengo la upasuaji ukitarajiwa kuanza hivi karibuni baada ya taratibu za manunuzi kukamillika ambapo hadi kufikia Disemba 30 majengo yanatakuwa yamekamilika na kuanza kutumika.

Sambamba na ujenzi huo ujenzi mwengine ni wa kituo cha afya Kinyerezi uliotengewa shilingi millioni 500 napo ukenzi ukiwa kwenye hatua ya ukamilishaji wa jengo la upasuaji na jengo la wazazi huku jengo la wagonjwa wa nje 'OPD' likiwa kwenye hatua ya renta na Maabara ikitarajiwa kuanza na hadi kufikia Disemba 30 majengo yote yatakuwa yamekilika na yanatarajiwa kuanza kutumika.

Kamati hiyo ilipata pia fursa ya kukagua ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa ya ghorofa 5 katika shule ya Sekondari Liwiti inayogharimu takribani shilingi bilioni 1.5 ambapo hadi kufikia Januari 2023 takribani madarasa nane ya awali kati ya 20 yatakua yamekamilika na wanafunzi kuanza kuyatumia.

Naye, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Robert Manangwa akifanya majumuisho ya ziara hiyo amesema, "Leo tumetembelea baadhi ya miradi inayosimamiwa na kutekelezwa na Halmashauri ya Jiji la DSM ambapo tumeweza kuridhishwa na utekelezaji huo japo kuna marekebisho madogo madogo yakukamilisha hususani katika Kituo cha afya kinyerezi kwani ujenzi unasuasua hautekelezwi kwa wakati."

Sambamba na hilo Mhe. Manangwa ameendelea kusema, "Ziara yetu imekua na mafanikio na nawashukuru wakuu wa idara wote pamoja na madiwani kwa kuwa watulivu na kuweza kuitekeleza ziara hii zaidi ya hayo naomba mapungufu yaliyoonekana kwenye miradi hiyo yashughulikiwe kwa wakati na kuweza kufikia hitimisho sahihi kwani tunachohitaji watu wafikiwe na huduma muhimu na bora kwa wakati"

Aidha Kamati imeridhia kuwa endapo mzabuni aliyepewa kazi ya utekelezaji wa miradi hatekelezi ipasavyo inabidi avunjiwe mkataba na mzabuni mwingine apewe kazi hiyo lengo likiwa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za jamii kwa wakati.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.