• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkutano maalum wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji kujadili bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018

Tarehe iliyowekwa: February 23rd, 2017

Bajeti ya Halmashauri ya Jiji katika mwaka 2017/2018 imeandaliwa kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo 2025, malengo endelevu ya millennia, Mpango wa maendeleo wa miaka mitano (5), Mwongozo wa bajeti wa mwaka 2017/2018 na maelekezo mengine ya Serikali na Halmashauri ya Jiji. Bajeti hii imejikita katika kumalizia miradi inayoendelea na kutekeleza miradi mipya ambayo inaleta tija kwa wananchi wa Dar es Salaam. Aidha bajeti ya Halmashauri imezingatia vipaumbele vifuatavyo:

  • Kuboresha mapato ya Halmashauri kwa kupitia upya sheria ndogo na kuthibiti mianya ya upotevu wa mapato kwa kutumia mfumo wa kielektroniki
  • Ujenzi na ukarabati wa majengo, barabara na vituo vikuu vya mabasi yaendayo mikoani (Mbezi Luis na Boko)
  • Kuboresha eneo la kutupa taka kitaalam – (Sanitary Landfill) kwa kujenga ukuta, kununua mitambo ya kusukuma na kushindilia taka, kujenga barabara za ndani na mfumo wa kamera za Usalama (CCTV)
  • Uwekezaji vitega uchumi kwenye viwanja vya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (Appartments)
  • Kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa utoaji wa huduma (supportive supervisión) kwenye Halmashauri na Hospitali za Rufaa za Mikoa (Regional Referal Hospitals).
  • Kuratibu na kufuatilia uboreshaji wa huduma ya uzazi na mtoto hususan kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga
  • Kuratibu mikakati ya utekelezaji wa shughuli za kudhibiti magonjwa ikiwemo UKIMWI, Kifua kikuu, malaria na magonjwa yasiyoambukiza
  • Kununua maeneo kwa ajili ya uwekezaji na kupima viwanja kwa lengo la kuongeza mapato ya Halmashauri
  • Kusimamia uendelezaji wa makazi na matumizi ya ardhi. Kuimarisha ulinzi na usalama katika Jiji la Dar es Salaam kwa kufanya uhamasishaji kwa viongozi wa kata, mitaa na jamii kwa ujumla
  • Uendelezaji wa Utalii, hifadhi ya mazingira na kuviwezesha vikundi vya akina mama na vijana.
  • Kufanya utafiti unaohusu usindikaji wa taka kwa kuwasilisha kwa njia ya maonesho pamoja na kuelimisha umma namna ya kurejeleza taka na kuwa bidhaa. 

Makisio ya bajeti ya mwaka 2017/2018 ni jumla ya Sh. 20,278,441,110.00 ambapo Sh. 3,133,512,000.00 ni Ruzuku toka Serikali Kuu na Sh. 17,144,929,110.00 ni makusanyo ya ndani. Aidha, kati ya mapato haya kiasi cha Sh. 6,674,688.000 ni mapato ya kugawana na Halmashauri za Manispaa na hivyo jumla ya Sh. 10,470,241,110.00 ni mapato ya ndani yatakayotumika kugharimia matumizi ya kawaida yaani matumizi mengineyo (OC), mishahara ya watumishi (PE) pamoja na miradi ya maendeleo. Jumla ya Sh. 3,377,789,976.00 zitatumika kulipia matumizi mengineyo (OC) na Sh. 530,360,968.00 zitatumika kulipa mishahara ya watumishi, Aidha Sh. 6,562,144,166.00 zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo ni sawa na asilimia 62.67 % ya mapato yote ya ndani.   


Na.

Mchanganuo

Jumla

1

Jumla ya Mapato

17,144,929,110.00

2

Mapato ya Kugawa kati ya Manispaa na Wakala.

6,674,688,000.00

3

Mapato ya Ndani

10,470,241,110.00

4

Mishahara ya Ndani

530,360,968.00

3

Matumizi ya Kawaida

3,377,789,976.00


Miradi ya maendeleo vyanzo vya ndani

1

Ufuatiliaji na Tathmini (M & E)

293,107,208.30

2

Ukarabati wa barabara ya kuingia/kutoka dampo kwa kiwango cha lami yenye urefu wa 0.7km

600,000,000.00

3

Kukamilisha ujenzi wa ukuta wa kuzunguka Dampo (920m)

320,000,000.00

4

Ukarabati wa barabara za Dampo la Pugu Kinyamwezi

100,000,000.00

5

Kulipa fidia na kujenga miundombinu ya Dampo la Mkuranga na Kigamboni

1,000,000,000.00

6

Ununuzi wa maeneo na ujenzi wa vyoo vya umma

500,000,000.00

7

Mchango wa ujenzi wa kituo cha Mbezi Luis

1,035,000,000.00

8

Ukarabati wa majengo Halmashauri ya Jiji (DCC)

210,229,411.00

9

Kufunga camera za CCTV katika jengo kuu la Halmashauri ya jiji

50,000,000.00

10

Ujenzi wa vyoo vya umma na kukarabati mfumo wa umeme Karimjee Hall

162,447,546.70

11

Ukarabati wa miundombinu kituo cha mabasi Ubungo

200,000,000.00

12

Kununua eneo kwa ajili ya makaburi

300,000,000.00

13

Kodi ya viwanja vya Halmashauri (Land Rent)

250,000,000.00

14

Mikopo kwa jamii (vijana na wanawake)

977,000,000.00

15

Matengenezo ya mzani Dampo la Pugu Kinyamwezi

10,000,000.00

16

Matengenezo ya Mitambo ya kusukuma na kushindilia taka.

150,000,000.00

17

Gharama za uendeshaji dampo (Diesel na Petrol)

404,360,000.00


Jumla miradi ya maendeleo

6,562,144,166.00

2

Ruzuku ya Serikali Kuu

2.1

Mishahara

2,275,512,000.00

2.2

Matumizi ya Kawaida

-

2.3

Miradi ya Maendeleo ya Ruzuku LDGD

850,000,000.00

2.4

Kuthibiti UKIMWI (NMSF)

8,000,000.00


Jumla ndogo ya Ruzuku

3,133,512,000.00


Jumla kuu

20,278,441,110.00


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.