• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

NYARAKA MUHIMU KWA KIKUNDI ILI KUWEZA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI USIO NA RIBA.

Tarehe iliyowekwa: November 29th, 2022

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia idara ya maendeleo ya jamii leo tarehe 29 Novemba 2022 imeendelea kutoa mafunzo juu ya ufahamu na uelewa katika mfumo wa usajili wa vikundi ambavyo vinakidhi kupata mkopo utokanao na asilimia kumi za mapato ya ndani kutoka Halmashauri kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, ambmafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Mikutano Anatoglou uliopo Mnazi Mmoja Dar es Salaam.

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inatekeleza hili kwa kiwango kikubwa kuhakikisha watendaji wa mtaa wanapata uelewa juu ya mfumo huu ili wawe mabalozi bora katika kufikisha elimu hii kwa wananchi ambao ni wanufaika wa moja kwa moja wa mikopo hii kuweza kujisajiri katika mfumo,ambapo Halmashauri imeweza kutoa kiasi cha fedha za kitanzania Zaidi Bilioni 17 na bilioni 5.8 kutoka katika marejesho kwa kipindi cha 2018/19 hadi  zimetolewa kwa wananchi.Mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii  Bibi Francisca Makoye amesema.

“Serikali imeanzisha mfumo mpya waTPLM IS unawezesha kila kikundi kuwa na taarifa zake na unahusisha moja kwa moja wananchi na si busara kuwaacha watendaji wa mtaa na wenyeviti mfahamu mfumo huu karibuni katika mafunzo haya”

Akijibu swali la mwenyekiti wa wenyeviti Jimbo la Ilala ndugu Ally Mshauri ambaye pia ni mwenyekiti wa mtaa wa Mafuriko kutoka kata ya ilala Afisa TEHAMA kitengo cha Maendeleo ya jamii wakati anawasilisha mada amesema “Nyaraka muhimu kwa muombaji wa mikopo hii kwa vikundi ili kupata mikopo ni pamoja na barua kutoka serikali ya mtaa, barua pepe (email) ya kikundi,umri ambao kwa vijana kuanzia miaka 18-35 isizidi hapo,kwa walemavu hakuna mipaka ya umri,kikundi cha wanawake haruhusiwi mwanaume miaka hakuna mipakanamba za nida za wanachama wote ambapo wanachama kuanzia watano kwa vijana,kwa walemavu anaweza kuwa mtu mmoja tu kama maeneo hayo yuko pekee aidha kama mitaa mingine walemavu wapo wanaweza kuungana.

Mfomo huu watumiaji wakuu ni pamoja na kikundi husika,afisa maendeleo ya jamii katani, Mkuu wa idara ya Maendeleo ya jamii Mkurugenzi,Mweka azina na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam hivyo basi kikundi kinatakiwa kujisajili katika mfumo na kutuma maombi.

Nyaraka za usajili ni Pamoja na katiba,barua kutoka serikali ya mtaa hapa watendaji  wote lazima wajue kikundi na wakitambue,azimio la kikundi na muhtasari wa kuomba usajili.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.