• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Walimu wa Shule za Sekondari Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wapewa mafunzo ya umahiri katika ufundishaji

Tarehe iliyowekwa: April 3rd, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Elimu Sekondari wakishirikiana na Taasisi ya Elimu Tanzania TIE leo Aprili 03, 2023 wameweza kufanya mafunzo kwa Waalimu wote wa Shule za Sekondari lengo likiwa ni kuwajengea uwezo endelevu na umahiri katika ufundishaji wao.

Mafunzo hayo yanayofanyika katika vituo mbalimbali yameweza kufunguliwa rasmi na Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Saalam Bi. Tabu Shaibu katika kituo cha Shule ya Sekondari Azania.

Aidha Akifungua Mafunzo hayo Bi. Tabu Shaibu ameeleza kuwa mafunzo haya ni muhimu sana kwa Waalimi wetu kwani kupitia mafunzo haya watafanya kazi kwa umahiri mkubwa zaidi ya hapo awali kwani mafunzo haya yatasaidia kuongezeka kwa ufaulu pamoja na kuwajengea ubunifu zaidi wanafunzi hata wanapokua wameshamaliza masomo yao ya elimu ya sekondari.

Kwa upande wake Mratibu wa Mafunzo kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) Mwl. Jivitius Sabatho ameeleza kuwa mafunzo haya yatafanyika kwa siku 4 na yanafanyika katika vituo mbalimbali ikiwemo Kituo cha Azania Sekondari, Pugu Stesheni, Pugu Sekondari, Juhudi Sekondari, Jamuhuri Sekondari, Zanaki Sekondari, Dar es Salaam Sekondari, Benjamini Mkapa Sekondari, Kisutu Sekondari, Ulongoni Sekondari pamoja na Kitunda Sekondari.

“Leo tupo hapa kufanya mafunzo kwa Waalimu wote wa shule za Sekondari za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambapo mafunzo haya yanaitwa mafunzo endelevu kazini yaliyobeba malengo makuu matatu kwanza ni kuwawezesha Wanafunzi mbinu bora za uandaaji wa shughuli mbalimbali zitakazowezesha uwezo wao katika kufundisha na kujifunza, kuwajengea uwezo wa kupima ambao ni endelevu katika hatua sote za ufundishaji pamoja na waalumu kuwajengea wanafunzi stadi nne ambazo ni kuwasiliana, ubunifu, kufikiri na kushirikiana (Collaboration, communication, critical thinking and Creativity) hivyo tunaamini mwanafunzi huyo akihitimu na hizo stadi nne ataweza kupambana na maisha kwakua hakusoma kwa lengo la kufaulu tu.” Ameeleza Mwl. Sabatho.

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule Sekondari Juhudi Mwl. Happiness Palangyo ameeleza kuwa “Tunamshukuru sana Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Elimu Sekondari kwa kuwezesha mafunzo haya ambayo yataleta tija kwa waalimu kufundisha kufundisha kwa Vitendo zaidi pia mafunzo haya yamelenga kuinua ufaulu kwa mwaka 2023 hivyo kwa niaba ya waalimu wenzangu naamini tutatekeleza yote tutakayofundishwa ndani ya siku 4 na hatimaye kufikia Malengo.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.