• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Uvuvi

Utangulizi

Shughuli za Uvuvi hufanyika katika bahari ya Hindi na pia katika mabwawa ya asili na yale yaliochimbwa. Mkoa una jumla ya kilomita 112 za urefu zilizopakana na Bahari ya Hindi ambazo hutumika kwa shughuli hizi za Uvuvi. Hivi sasa kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi katika kujiongezea kipato kwa kufanya shughuli za ufugaji samaki. Katika Mkoa wetu samaki aina ya Kambale na Sato hupendelewa na wafugaji wengi zaidi.

Majukumu ya Mkoa katika sekta ya Uvuvi:

  • Kutoa ushauri na kuhamasisha wavuvi kutumia maarifa ya kisasa(zana bora) ya uvuvi ili kuongeza ufanisi pamoja na mapato
  • Kuelimisha na kuhamasisha wavuvi kuunda vikundi pamoja na SACCOS ili kuwawezesha kupata mikopo
  • Kufanya doria za mara kwa mara ili kupambana na Uvuvi haramu unaotishia Uvuvi endelevu.
  • Kutoa ushauri katika shughuli za ufugaji wa samaki(miundombinu, chakula, magonjwa, masoko na nk)
  • Kukagua na kusimamia Sheria na Kanuni za Uvuvi katika Halmashauri zote katika Mkoa
  • Kukagua Masoko, Viwanda, mabucha na vituo(minada) vya kupokea samaki
  • Kuelimisha wananchi umuhimu wa kupambana na uvuvi haramu na kuwatambua samaki waliovuliwa kwa zana haramu
  • Kuratibu zoezi la Sensa.
  • Kumshauri Katibu Tawala wa Mkoa na Halmashauri juu ya utekelezaji wa sheria za kazi.
  • Kuratibu masuala ya Maafa katika Mkoa.



Ilala
Temeke
Kinondoni
Jumla
Wavuvi
1,083
3,520
2,513
7,116
Vyombo vya uvuvi
222
1,099
1,967
3,288

Idadi ya wavuvi pamoja na vyombo vya Uvuvi


Wilaya
Idadi ya vikundi
Idadi ya SACCOS
Ilala
16
1
Kinondoni
3
1
Temeke
8
3
Jumla
27
5

Vikundi na SACCOS za wavuvi katika Mkoa


Mwaka

Ilala

Temeke

Kinondoni

Uzito (tani)

Sh.

('000')

Uzito (tani)

Sh.

('000')

Uzito (tani)

Sh.

('000')


2010
4,137.7
4,677,889
315.9
12,739.3
4762.05
9,524,100
2011
3,591.7
4,213,574
376.06
18,995.6
4573.05
15,091,057
2012
5,000
6,405,406
417.71
19,479.4
4526.68
16,069,704
2013
5,074.7
6,850,900
385.81
16,549.6
4772.17
10,125,000
2014
4,178.6
8,914,602
535.97
19367.5
4013.12
9,127,023
2015
2,856.6
7,260,733
976.86
21577.67
3995.86
8,989,884

Takwimu za samaki waliovuliwa kwa kipindi cha 2010 - 2015

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.