• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani

Friday 1st, July 2022
@Viwanja vya Mnazi Mmoja

Kila tarehe 5 Juni, kila mwaka Watanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani. Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliamuliwa na Baraza la Umoja wa Mataifa la mwaka 1972, wakati wa mkutano wa kwanza wa Umoja wa Mataifa uliohusu Mazingira huko Stockholm, nchini Sweden.

Aidha, Azimio la kuunda Shirika la Umoja wa Mataifa la kushughulikia Mazingira Duniani, yaani United Nations Environment Programme (UNEP) lilipitishwa pia siku hiyo. Tangu wakati huo, nchi mbalimbali duniani zimekuwa zikiadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kila mwaka tarehe 5 Juni, kwa ujumbe maalumu unaotolewa na Umoja wa Mataifa.

Madhumuni ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ni kuhamasisha jamii duniani kote kuelewa masuala yahusuyo Mazingira na pia kuhamasisha watu wa jamii mbalimbali duniani kuwa mstari wa mbele katika kuchukua hatua za kuhifadhi na kulinda mazingira. Aidha, tunatumia siku hii kutoa fursa kwa jamii kufahamu kwamba wao wana wajibu wa kuzuia madhara na mabadiliko hasi katika Mazingira na kuhamasisha jamii kufanya mazingira yao kuwa salama na masafi katika maisha yetu na vizazi vyetu.

Kimataifa maadhimisho haya yanafanyika katika mji wa Hangzhou nchini China na kaulimbiu ya Kimataifa inayoongoza maadhimisho haya ni “Uchafuzi wa Hewa” (Air Pollution). Kaulimbiu hii inahimiza jamii kuepuka shughuli zinazo sababisha uchafuzi wa hewa. Maamuzi ya kupeleka maadhimisho haya China ni kutokana na nchi ya China kuwa na viwanda vingi ambavyo uzalishaji wake unasabisha uchafuzi wa Hewa. Hivyo, maadhimisho haya yanatoa fursa kwa nchi ya China na nchi nyingine duniani kuhamasika kuepuka shughuli zinazosababisha uchafuzi wa mazingira na kuwaepusha watu wake na maradhi yatokanayo na uchafuzi wa hewa.

Mwaka huu hapa nchini hatutakuwa na maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira Duniani  na badala yake kila Mkoa utafanya shughuli za maadhimisho katika maeneo yake kwa kuzingatia kaulimbiu ya maadhimisho haya isemayo: “Tumia mifuko mbadala wa Plastiki; kwa ustawi wa Afya, Mazingira na Maendeleo ya Uchumi”. Kaulimbiu hii ni mwitikio wa Taifa wa Tamko la Serikali la kukataza uzalishaji, uingizaji ndani ya nchi usambazaji na matumizi ya mifuko ya plastiki na kuhimiza wananchi kutumia mifuko mbadala. Tamko hili limetokana na uharibifu mkubwa wa mazingira unaotokana na utupaji ovyo wa mifuko ya plastiki ambayo imeleta madhara makubwa ya kimazingira, afya za viumbe hai, ikiwemo binadamu wanyama, pamoja na kuathiri uchumi  wa nchi kwa ujumla. Aidha, mifuko ya plastiki imekuwa sehemu muhimu ya jamii yetu, lakini changamoto ya usimamizi na athari za taka za plastiki nchini na duniani inahatarisha mustakabali wa ustawi wa jamii, uchumi na mazingira kwa kuwa mifuko hii huchukua muda wa takriban miaka 500 kuoza.

Matangazo

  • Taarifa ya kuitwa kwenye usaili wa mahojiano nafasi ya Mtendaji wa Mtaa June 29, 2022
  • NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Taarifa ya Kuitwa kwenye usaili-Nafasi ya Mtendaji Mtaa June 19, 2022
  • Mabadiliko ya Tarehe ya Usaili Waombaji wa Nafasi ya Kazi ya Mtendaji wa Mtaa June 24, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC Ludigija Ashiriki zoezi la usafi wa mwisho wa Mwezi Julai

    June 25, 2022
  • Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam ampongeza Rais Samia kwa kufungua milango zaidi ya uhusiano na miji ya nchi za nje

    June 20, 2022
  • TASAF yatoa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Ugani Jiji la Dar es Salaam

    June 14, 2022
  • Madiwani, Watendaji wa Mjini Magharibi B Zanzibar wafanya ziara ya kujifunza Jijini Dar es Salaam

    June 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Viongozi wa Mji wa Kisumu jijini Dar es Salaam
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • TAKWIMU HURIA
  • TOVUTI KUU YA WANANCHI

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi: 0713614364

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.