• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Mpogolo akabidhi pikipiki 36 kwa Watendaji wa Kata

Tarehe iliyowekwa: July 3rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo Leo Julai 3, 2023 amekabidhi pikipiki 36 kwa Watendaji wa Kata za Halmashauri ya Jiji lengo likiwa ni kuwarahisishia utendaji kazi katika kutekeleza majukumu yao.

Akiongea wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mhe. Mpogolo amewapongeza madiwani pamoja na Mkurugenzi wa Jiji kwa kazi Nzuri wanayoifanya ya kusimamia mapato ambayo ndiyo yakoyopelekea kununuliwa kwa pikipiki hizo.

“Nipende kuwapongeza Madiwani pamoja na Mkurugenzi na watendaji wake kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kusimamia vizuri mapato kwani ndiyo yamepelekea kununuliwa kwa pikipiki hizi hivyo nitoe wito kwa Watendaji wa Kata kuhakikisha pikipiki hizi mnazitumia kwa matumizi sahihi ya kusimamia mapato katika Kata zenu, kusimamia miradi pamoja na kuwahudumia Wananchi pia ni matumaini yangu kwamba bajeti inayofuata tutakua tumekusanya Bilioni 100 kutoka kwenye bilioni 89 kwakuwa tumewarahisishia Usafiri na tuhakikishe pikipiki hizi hazitumiki kwaajili ya biashara kwani sio lengo lililokusudiwa."

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amesema “Kutokana na ukubwa wa Jiji tulipokea maelekezo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha tunakaa na Watendaji wa Kata kujua changamoto zenu hivyo changamoto hizo tulizipokea na tumetekeleza agizo la Mhe. Rais kwani leo tutakabidhi pikipiki na mahitaji mengine yatafuata hivyo naamini kupitia pikipiki hizi tutarahisisha kukusanya mapato na kuwafikia wanachi kwa urahisi zaidi pia nitoe wito kwenukuhakikisha pikipiki hizi mnazitunza na mnazitumia kwa matumizi sahihi sio kwaajili ya biashara."

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salam, Afisa Utumishi wa Halmashauri Bi. Bernadeta Mwaikambo ameeleza kuwa “Lengo la pikipiki hizi ni kuboresha vitendea kazi na kurahisisha utendaji kazi kwa Watendaji wa Kata hivyo Halmashauri kupitia mapato ya ndani takribani shilingi milioni 103.8 tumeweza kununua pikipiki 36 ambazo zitarahisisha utendaji kazi wenu."

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.