• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Afisa Tarafa Ukonga awataka wanafunzi kupanda miti ya matunda majumbani

Tarehe iliyowekwa: February 3rd, 2026

Na Doina Mwambagi

Afisa Tarafa ya Ukonga, Bw. Kheri William, amewataka wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ukonga kuhakikisha wanapanda miti ya matunda isiyopungua mitatu katika makazi yao ili kuimarisha lishe bora na afya zao kwa ujumla.

Bw. Kheri ametoa wito huo leo tarehe 3 Februari, alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo katika kongamano la lishe kwa wanafunzi lililofanyika shuleni hapo, lenye lengo la kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa lishe bora kwa maendeleo ya afya na taaluma.

Akizungumza katika kongamano hilo, Bw. Kheri amesema kauli mbiu ya “Lishe Bora, Afya Bora kwa Ustawi wa Taaluma ya Wanafunzi” inapaswa kuwa dira ya maisha ya kila siku kwa wanafunzi, akisisitiza kuwa lishe bora ina mchango mkubwa katika kuimarisha afya, kuongeza umakini darasani na kuboresha ufaulu wa wanafunzi.

Aidha, ameongeza kuwa “upandaji wa miti ya matunda utasaidia kupatikana kwa matunda kwa urahisi majumbani, hivyo kuchangia upatikanaji wa virutubisho muhimu kwa wanafunzi na familia zao pamoja na kupunguza gharama za ununuzi wa matunda,” amesema Bw. Kheri.

Kwa upande wake, Kaimu Mratibu wa Lishe wa Jiji la Dar es Salaam, Bi. Neema Mwakasege, amesema matokeo ya tathmini ya hali ya lishe kwa wanafunzi 461 waliopimwa yanaonesha kuwa wanafunzi 428 wana hali nzuri ya lishe, wanafunzi 31 wana utapiamlo wa wastani, huku wanafunzi wawili wakibainika kuwa na utapiamlo mkali.

Bi. Mwakasege amesema takwimu hizo zinaonesha bado kuna haja ya kuendelea kuimarisha juhudi za pamoja katika kuboresha lishe kwa wanafunzi, akisisitiza ushirikiano wa karibu kati ya wazazi na walimu ili kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula cha mchana shuleni, hatua itakayosaidia kuboresha afya na uwezo wa wanafunzi katika masomo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA: KUPELEKWA KWA FEDHA KWA AJILI YA UKAMILISHAJI WA KITUO CHA AFYA BUYUNI February 03, 2026
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC Mpogolo akabidhi vifaa kwa walimu wenye mahitaji maalum

    February 03, 2026
  • Afisa Tarafa Ukonga awataka wanafunzi kupanda miti ya matunda majumbani

    February 03, 2026
  • Wakazi wa Ilala wahimizwa utunzaji wa Mazingira kwa kupanda miti

    January 27, 2026
  • Afisa Elimu Mkoa wa DSM awataka Walimu Wakuu kusimamia kanuni na sheria za elimu

    January 21, 2026
  • Angalia zote

Video

UJENZI SHULE YA SEKONDARI KITUNDA RELINI KUKAMILIKA KABLA YA WAKATI
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.