• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Mpogolo akabidhi vifaa kwa walimu wenye mahitaji maalum

Tarehe iliyowekwa: February 3rd, 2026

Na: Samira Ramadhani

Mkuu wa wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amekabidhi vifaa vya elimu vya kieletroniki kwa walimu na wanafunzi wenye mahitaji maalum kea lengo la kuboresha ufundishaji na ujifunzaji. 

Akizungumza katika  hafla ya makabidhiano  ya vifaaa hivyo kwa walimu wa shule mbalimbali  wilayani  Ilala, Mhe. Mpogolo amesema Rais Dkt. Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa katika sekta ya Elimu kwa kuhakikisha anasimamia sual la elimu bure kwa wanafunzi, ujenzi wa miundombinu ya Elimu pamoja na  mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. 

"Nimpongeze sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa vifaa vya ufundishaji kwa walimu wenye uhitaji maalumu kama kompyuta mpakato, *digital voice recorder', karatasi za kuandikia maandishi ya nukta nundu, na vingine vingi ambavyo vitaenda kurahisisha ujifunzaji na ufundishaji kwenu". Alisema. 

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, Ndugu Elihuruma Mabelya,kwa kununua vifaa vya kujifunzia kwa  mwanafunzi Ali Kimara mwenye changamoto ya maradhi adimu yanayomfanya asome akiwa kitandani kwa muda wa zaidi ya miaka nane ili kumuwezesha kuendelea na masomo kwa kiwango cha Sekondari. 

Makabidhiano hayo yaliyofanyika  katika viwanja vya shule ya Sekindari Jangwani, yamefanyika ndani ya  ahadi ya siku 100 za utekelezaji wa majukumu ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA: KUPELEKWA KWA FEDHA KWA AJILI YA UKAMILISHAJI WA KITUO CHA AFYA BUYUNI February 03, 2026
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC Mpogolo akabidhi vifaa kwa walimu wenye mahitaji maalum

    February 03, 2026
  • Afisa Tarafa Ukonga awataka wanafunzi kupanda miti ya matunda majumbani

    February 03, 2026
  • Wakazi wa Ilala wahimizwa utunzaji wa Mazingira kwa kupanda miti

    January 27, 2026
  • Afisa Elimu Mkoa wa DSM awataka Walimu Wakuu kusimamia kanuni na sheria za elimu

    January 21, 2026
  • Angalia zote

Video

UJENZI SHULE YA SEKONDARI KITUNDA RELINI KUKAMILIKA KABLA YA WAKATI
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.