• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Mpogolo awataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa mkutano wa Wakuu wa Nchi Afrika

Tarehe iliyowekwa: January 19th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amewataka wafanyabiashara Kariakoo kuchangamkia fursa katika Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaotarajiwa kufanyika Januari 27 na 28 mwaka huu.

Amesema Rais Dk. Samia, amekuwa kinara wa Dunia na Kinara wa Afrika katika matumizi ya nishati safi, hivyo kuanzia Januari 26  Tanzania itaanza kupokea wageni wakiwemo marais kutoka nchi za Afrika ambao watahudhuria mkutano huo.

Mhe. Mpogolo ameyasema hayo leo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, katika Bonza maalumu lililoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) likishirikisha wafanyabiashara wa Mkoa wa kikodi wa Kariakoo. 

“Ninawaomba wafanyabiashara  kujiandaa  kupokea wageni hawa.Mkutano huo utahudhuriwa na marais kutoka nchi nyingi za Afrika ambao watapenda kufika Kariakoo au kutuma wawakilishi wao hivyo ni vyema  wafanyabiashara wa Kariakoo kujiandaa kimataifa." ameeleza Mhe. Mpogolo.

Amesema ni wakati wa kuifanya Kariakoo  kuwa ya Kimataifa ambapo serikali itatoa mabango maalumu ya mkutano huo.

Aidha, Mhe. Mpogolo amebainisha Soko la Kariakoo ni tegemeo kubwa kwa Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam na taifa kwa ujumla katika ukusanyaji mapato  hivyo kuahidi ushirikiano mkubwa kwa wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato.

Aliishukuru TRA kwa ufanisi mkubwa ambapo ufanisi huo umeifanya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kukusanya sh. bilioni 101 katika mwaka wa fedha 2023/24 ambapo malengo ya awali yalikuwa ni kukusanya sh. bilioni 81 tu.

“Kwa kasi hii ya TRA katika ukusanyaji mapato Mwaka huu wa fedha  tutajiwekea malengo ya kukusanya hata sh. bilioni 120,” amesema Mhe. Mpogolo.

Ameeleza Serikali wilayani Ilala,  itaendelea kushirikiana na TRA na wafanyabiashara wote kwa sababu inatambua umuhimu wa kodi katika maendeleo ya miradi mbalimbali.

“Rais Dk. Samia, alitulietea zaidi ya sh. bilioni 350 za maendeleo Ilala. Tumefanikiwa kutekeleza miradi mingi, ikiwamo ya elimu, afya na barabara." Amebainisha.

Naye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo, Seveline Mushi, alisema wataendelea  kushirikiana na TRA na serikali kwa kulipa kodi kwa wakati.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.