• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jiji la DSM kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 310 kwa wakati

Tarehe iliyowekwa: November 29th, 2022

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ipo kwenye utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 310 kwa Shule za Sekondari kupitia fedha zilizotolewa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan maarufu kama 'Pochi ya Mama' 


Aidha, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, imepokea Jumla ya fedha Shilingi Bilioni 6.2 kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa 310 huku kila chumba kikijengwa kwa fedha Shilingi Milioni 20

"Katika madarasa hayo tunajenga vyumba vya madarasa ya msambao 273 na madarasa ya ghorofa 37 yanayojengwa Shule ya Sekondari Kipunguni, madarasa 16, Shule ya Sekondari Minazi Mirefu madarasa 05, Shule ya Sekondari Liwiti madarasa 09 na madarasa 07 yanajengwa Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja" Mwl. Mussa Ally, Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 37 ya ghorofa umezingatia ufinyu wa maeneo ambapo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeweza kutoka Shilingi Milioni 800 kufanikisha ujenzi huo

"Katika Shule 04 zinazojengwa madarasa ya ghorofa, Halmashauri imepeleka Shilingi Milioni 200 kwenye kila Shule sawa na Milioni 800, lengo ni kuhakikisha kwamba maeneo hayo finyu ambayo baadhi yao kwa mwaka jana tulilazimika kuhamisha madarasa kupeleka sehemu yenye nafasi, mwaka huu yatajengwa katika mtindo wa ghorofa kwa ku 'support'  na fedha za Halmashauri" Mwl. Mussa Ally

Kazi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 310 inatarajiwa kukamilika kwa wakati ili vyumba hivyo viweze kutumiwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023.

"Sisi tunajipanga kukamilisha madarasa yetu ndani ya muda uliopangwa na kufanya hivyo tumeunda timu za usimamizi ziko huko katika mashule na tumewahusisha pia Wakuu wa Idara mbalimbali kama walezi na sisi wenyewe tunazunguka kuangalia" Mwl. Mussa Ally

Itakumbukwa kwamba wanafunzi Elfu 30 wamehitimu elimu ya msingi kwa mwaka 2022 kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, hivyo kufanya upungufu wa vyumba vya madarasa ya kusomea kidato cha kwanza mwaka 2023 kufikia 310, hali hiyo imeilazimu Serikali kutoa fedha kujenga vyumba hivyo vya madarasa

"Tulikuwa na upungufu wa vyumba vya madarasa 310 ambapo kwa hakika madarasa yote 310 yamepatikana, na makisio yetu Halmashauri ni kwamba ufaulu utaongezeka, watoto wote Elfu 30 watakaokuwa wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 watapata nafasi ya kusoma" Mwl. Mussa Ally

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.