• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam yaendelea kutekeleza shughuli za Lishe bora na Salama katika Jamii.

Tarehe iliyowekwa: May 26th, 2022

Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imefanya kikao cha Robo ya tatu kuanzia Januari hadi Machi 2022 kilichofanyika leo tarehe 26, Mei 2022 katika ukumbi wa mkutano wa Arnatoglou Jijini Dar es Salaam lengo likiwa ni kupitia taarifa ya utendaji kazi na utekelezaji wa afua za lishe za Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika, Afya, Mifugo, Maji, Maendeleo ya Jamii na Vijana, Elimu Msingi na Sekondari, MDH pamoja na vyombo vya habari  wa Kamati hiyo.

Akiongoza Kikao hicho cha Lishe kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam  Afisa Uhusiano wa Jiji la Dar es Salaam Bi.Tabu F. Shaibu ameeleza kuwa Kamati ya Lishe ni Kamati muhimu inayotekeleza na kusimamia ulaji na uandaaji wa lishe bora kwa afya za  Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Kilimo, Umwagiliaji na Ushiriki  kwa niaba ya Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Vernice  Malisa alieleza kua Idara imeweza kuhamasisha Wakulima 484 waliopo kwenye mabonde ya Kata za Msongola, Zingiziwa, Chanika, Kivule, Buyuni, Ukonga, Gongolamboto na Kitunda kuvuna maji  ya mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wa mboga mboga  ifikapo June, 2022.

Aidha Bi. Malisa aliendelea kueleza kuwa katika kuhakikisha Wananchi wanapata mboga mboga salama  Idara imeendelea kutoa elimu na kuhamasisha kilimo cha Magorofani ambacho hutumia eneo dogo katika uzalishaji kwani  mbogamboga hupandwa  katika mifuko ya Salfet na makopo ambayo hayachukui nafasi kubwa ambapo wakulima waliweza kuhamasishwa kuhusu matumizi ya Teknolojia ya kilimo bora ili kuongeza upatikanaji wa chakula cha kutosha chenye lishe bora na Salama kwa mlaji kupitia Shamba Darasa MOJA la mboga katika kiyuo cha Kata cha Rasilimali Kilimo Kinyamwezi.

Kwa upande wake Kaimu Mratibu Lishe wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bibi. Neema Mwakasege alieleza kuwa Kamati  itafanya ziara ya mafunzo ya kilimo katika kituo cha Shamba DARASA MOJA la mboga katika Kituo cha Kata cha Rasilimali KIlimo Pugu Kinyamwezi ili kujifunza kilimo cha Magorofani na namna bora ya utayarishaji wa upandaji mbogamboga kwa njia salama ambapo kamati itakua na jukumu la kuelimisha jamii ikijikita katika shule za msingi na sekondari ili wanafunzi hao waweze kufikisha Elimu hiyo katika Jamii inayowazunguka.



Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.