• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam atoa Maelekezo 17 kwa watendaji wa Sekta ya Ardhi na Mipangomiji

Tarehe iliyowekwa: May 18th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul C. Makonda leo 18 Mei, 2017 amezungumza na Watendaji wa Idara ya Ardhi na Mipangomiji wa Halmashauri za Dar es Salaam wakati wa kikao kazi cha kujadili changamato mbalimbali zinazoikumba sekta ya Ardhi ikiwa ni pamoja na migogoro isiyokwisha ya umiliki wa ardhi.

Katika kikao kazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Arnatouglou, Mhe. Makonda alitoa maagizo yafuatayo;

  1. Watendaji wa Sekta ya Ardhi na Ujenzi  Kushughulikia migogoro ya Ardhi na Ujenzi ili wananchi wasipeleke malalamiko yao ngazi za juu.
  2. Watendaji wa Sekta ya Ardhi na Ujenzi Wameagizwa kutoa vibali vya Ujenzi ndani ya mwezi mmoja na zoezi hilo lianze mwezi Juni mwaka huu wa 2017. Mwanzoni mwa mwezi Julai, 2017 kuzinduliwa teknolojia ambayo wananchi watapata taarifa zao za Ardhi kwenye mtandao jambo ambalo litafanya Dar es Salaam kuwa kiganjani mwa wananchi.
  3. Wakuu wa Idara katika Sekta ya Ardhi na Ujenzi  kuhakikisha wanatoa taarifa kuhusu Mipango ya Idara kwenye vyombo vya habari kwa kuwatumia maafisa habari kwani tayari wana mahusiano na waandishi mbalimbali katika vyombo vya habari.
  4. Wakuu wa Idara ya Ardhi na Ujenzi kutoa TAARIFA ya maeneo yote ya wazi yaliyotolewa Hati, na kujitokeza haraka kwa wote waliotoa Hati za maeneo ya wazi kama wapo.
  5. Wakuu wa Idara ya Ardhi Na Ujenzi kusimamia haraka upimaji wa maeneo yote ya Umma kama kama vile Shule, Hospitali, na Masoko kama alivyoagiza Waziri wa TAMISEMI sambamba na kutoa Mikakati ya Upimaji.
  6. Wakuu wa Idara ya Ardhi na Ujenzi kuhakikisha ufanisi na bidii ya utendaji inaongezeka hususani mikakati ya kuhusisha wapimaji binafsi wanaotambulika kwani Mji ukipimwa vyema Madiwani watafurahi lakini pia itakuwa njia rahisi ya kuepuka migogoro ya Ardhi.
  7. Kushughulikia changamoto za kisera zinazofanya utaratibu wa Upimaji na utoaji wa Hati kuchelewa kukamilka.
  8. Mabaraza ya Kata kuangaliwa upya kwa mujibu wa Sheria ili kuwa na utendaji imara unaoshabihiana na jambo la kisera.
  9. Kila Mtumishi kufanya kazi yake kwa uaminifu kwani dhamana aliyopewa ni kubwa na anapaswa kuitendea Haki. Watumishi wote kusimamia na kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani chama hicho ndicho kimeingia mkataba na wananchi katika kipindi cha miaka mitano.
  10. Kila Mkuu wa Idara kupitia Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2015 - 2020 ili kutambua maelekezo yaliyobainishwa katika Sekta yake sambamba na kuwaelekeza wasaidizi wao pia kuisoma na kuielewa vyema Ilani hiyo.
  11. Kufatilia na kufahamu upandaji wa madaraja na stahiki zao kwani ni Haki zao za msingi kisheria ikiwa ni pamoja na kwenda likizo.
  12. Watumishi wote kuheshimu mamlaka walizonazo na kutumia vikao halali kutoa taarifa sahihi kwa watu husika.
  13. Kuwa na ushirikiano wa watumishi katika Idara zote ili kukuza ufanisi wa Kazi.
  14. Kujitokeza ndani ya wiki moja kwa watumishi wote wa Sekta ya Ardhi waliojihusisha na utoaji wa Hati za Ardhi kinyume na sheria na endapo wasipojitokeza na wakabainika watachukuliwa hatua za kisheria.
  15. Kufafanua baadhi ya mambo ili Madiwani waweze kuelewa sambamba na kutoogopa maazimio kama wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria pasipo kupendelea.
  16. Wakuu wa Idara kila mwisho wa wiki kutoa taarifa kwa Wakurugenzi inayoonyesha idadi ya Migogoro na jinsi ilivyotatuliwa.
  17. Katika kupunguza changamoto ya kuwafikia wananchi kwa Wakati Mkuu wa Mkoa amesema atatoa Pikipiki 5  kwa kila Manispaa za Jiji la Dar es Salaam, yaani jumla ya pikipiki 25 kwa Manispaa zote 5 za Sekta ya Ardhi kwa kila Manispaa.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.