• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa DSM ashiriki zoezi la usafi Hospitali ya Taifa Muhimbili

Tarehe iliyowekwa: April 26th, 2022

Katika kusherehekea sherehe za Miaka 58 ya Muungano ambazo hufanyika kila mwaka ifikapo Aprili 26 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla ameshiriki zoezi la usafi katika sehemu za kutolea huduma za afya ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam usafi huo umefanyika katika hospital ya taifa ya Muhimbili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe hizo.

Zoezi hilo la usafi lililoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe. Amos Makalla  liliweza kuhudhuriwa na watu mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Watumishi kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili, Wadau mbalimbali  wakiwemo bank ya NMB, Wanafunzi wa  shule ya Sekondari Azania na Zanaki pamoja na wanachi wengine wakiongozwa na vijana wa bodaboda waliofika kwa lengo la uchangiaji damu katika hospitali hiyo.

Akizungumza katika zoezi hilo  Mhe.Makalla amewahimiza watu kushiriki nae katika zoezi hilo la usafi katika zahanati na vituo vya afya  vinavyowazunguka ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Muungano."Nawapongeza sana wote mlioamka asubui na mapema na kujumuika nami katika zoezi hili la usafi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupendezesha na kusafisha Dar es Salaam niliyoizindua mwaka jana lengo likiwa ni kutunza mazingira na kuyaweka katika hali ya usafi."

Kwa upande mwingine  Mhe. Makalla aliweza kuongoza zoezi la uchangiaji damu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo amewahamasisha wananchi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wengine pia aliweza kuwapongeza vijana wa bodaboda ambao wameweza kufika kwa wingi katika hospitali hiyo na kuweza kuchangia damu  pamoja na kuchanja chanjo ya COVID-19 pamoja na kutoa wito kwa wananchi wengine kujijengea utaratibu wa kuchangia damu kwaajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ndug. Ngw'ilabuzu Ludigija  aliweza kutoa shukrani zake za dhati kwa Mkuu wa Mkoa wa DSM kwa kuongoza zoezi zima la usafi hivyo kuwahimiza wananchi kijitokeza siku ya Jumamosi ya tarehe 30 April,2022 kufanya usafi ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya 'Safisha, Pendezesha Dar es Salaam' ambapo kimkoa mwezi huu itafanyika Wilaya ya Ilala.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.