• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Teknolojia za kilimo, mifugo na uvuvi katika banda la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Zang’ara.

Tarehe iliyowekwa: August 5th, 2023


Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam  imeshiriki kikamilifu katika maonesho ya sikukuu ya Wakulima Katika kanda ya Mashariki inayojumuisha mikoa ya Tanga, Pwani, Morogoro na Dar es Salaam yanayofanyika katika mkoa wa Morogoro , Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere kuanzia tarehe 1-8 Agosti kila mwaka.

Katika Maonesho ya mwaka 2023 kaulimbiu ni Vijana na Wanawake ni Msingi Imara ya Mifumo Endelevu ya Chakula.

Katika Banda la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam limetembelewa na viongozi pamoja na wananchi wanaotoka katika maeneo mbalimbali, wakionesha kufurahishwa na kujifunza teknolojia  zilizosheheni ubunifu  na  kuleta tija katika uzalishaji.

Tukianza na Sekta ya Kilimo wameweza kujifunza teknolojia mbalimbali zikiwa ni pamoja naKilimo cha utengenezaji wa ustani za nyumbani , Kilimo cha uyoga na mapishi ya uyoga, kilimo cha bila kutumia udongo, Umwagiliaji kwa njia ya matone, kilimo cha mbogamboga kwa kutumia Kitalunyumba, uzalishaji wa miche bora ya matunda pamoja na kilimo cha mjini.

Aidha katika Mifugo wameweza kujifunza teknolojia kama Ufugaji wa kuku chotara, ufugaji wa Ng’ombe wa maziwa, Usindikaji wa maziwa, Ufugaji wa Bata bukini, Kuku wa Asili, Ufugaji wa Mbwa , uzalishaji wa malisho ya mifugo pamoja na upimaji wa ubora wa maziwa.

Hali Kadhalika katika Uvuvi wameweza kujifunza Ufugaji Samaki kwenye Tenki, Upimaji wa ubora wa mabwawa, Utotoleshaji vifaranga vya samaki, utengenezaji wa chakula cha samaki, Ufugaji wa Samaki  kwenye bwawa lisilo la kuchibwa pamoja na Usindikaji mazao ya Uvuvi.

Aidha Halmashauri ya Jiji la Da es Salaam imetekeleza  kwa vitendo sera ya kila Halamshauri kutenga asilimia 10% ya mapato yake ya ndani kutoa mikopo kwa Wanawake Vijana, na watu wenye ulemavu  ambapo katika banda  la Jiji  Wajasiriamali waliowezeshwa kupitia  10% wamepewa fursa ya kuonesha bidhaa  walizozitengeneza na mazao  yatokanayo na kilimo na mifugo  kwa kuongeza thamani  ikiwa ni pamoja na bidhaa za usindikaji kama viungo  vya chakula, Unga lishe, Maziwa,  mvinyo na asali  bidhaa zinazotokana na zao la ngozi kama mikoba, viatu,mikanda pamoja kofia.




Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.