• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

"Tutunze mazingira kwa kutumia nishati safi" - RC Chalamila

Tarehe iliyowekwa: June 5th, 2024

Wananchi wa DSM wamehimizwa kutumia nishati safi ili kutunza mazingira, Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Leo tarehe 5 Juni, 2024 Ambayo kimkoa yamefanyika katika Viwanja vya Mji Mwema Wilayani Kigamboni, Maadhimisho hayo yana kaulimbiu isemayo “Urejeshwaji wa Ardhi, ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame”

Akiongea na viongozi na wananchi waliojitokeza katika Maadhimisho hayo Mhe Chalamila amesema “ Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekua mstari wa mbele kusisitiza matumizi ya nishati safi  lengo ikiwa ni kutunza mazingira kwa kutokata miti hovyo, na kuepukana na magonjwa yatokanoya na utumiaji wa nishati isiyo salama. Hivyo nitoe Rai kwenu wananchi kuhakikisha tunatumia nishati safi na tunaungana kwa pamoja kuhakikisha tunaachana na ukataji wa miti kwa ajili ya uchomaji wa mkaa ili kutunza mazingira yetu”

Pia, Mhe. Chalamila amesema Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itatoa mitungi ya gesi kwa wanawake mia tatu (300) kwa kila Wilaya ikiwa ni kuunga juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujali afya zetu kwa maslahi mapana ya maendeleo endelevu ya Taifa letu

Sambamba na hilo, Mhe. Chalamila amewataka Wakuu wa Wilaya zote za Dar es Salaam kwa kushirikiana na Taasisi za mazingira kuhakikisha wanawachukulia hatua za kisheria wale wote wanaofungulia maji machafu katika mikondo ya maji safi, pia amewataka wananchi kuacha tabia ya kutupa taka hovyo ili kujilinda na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Awali akimkaribisha Mgeni rasmi, Katibu Tawala wa Mkoa wa DSM Dkt. Toba Nguvila amempongeza Mkuu wa Mkoa kwa kukubali kushiriki maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani na kuwataka wananchi kutotupa taka ngumu mitaani 

“Kumekua na tabia ya wananchi kutupa taka ngumu katika mazingira yetu hivyo tuhakikishe tunakusanya hizo taka kwani ni malighafi kwaajili ya matumizi ya Urejeshwaji yaani kutengeneza bidhaa zingine.“ amesema Dkt. Nguvila.

Siku ya Mazingira Duniani ilianzishwa mwaka 1972 na huadhimishwa kila ifikapo tarehe 5 Juni ya kila Mwaka lengo likiwa ni kutatua changamoto zote zitokanazo na mazingira.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.