• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Umoja wa Wajasiriamali Walemavu Dar wafanya kongamano la kumpongeza Rais Samia

Tarehe iliyowekwa: March 17th, 2023

Umoja wa Wajasiriamali Walemavu Mkoa wa Dar es Salaam (UWAWADA) leo Machi 17, 2023 wamefanya kongamano la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka miwili ya uongozi wake na kumshukuru kwa kuendelea kusisitiza mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ambayo watu wenye ulemavu ni wanufaika.

Akizungumza kwenye kongamano hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Karume kwa niaba ya Mkuuwa Mkoa wa Dar es Salaam, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Bi. Charangwa Selemani alitoa pongezi kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza Miradi yote iliyoachwa na Hayati John Pombe Magufuli kwa kasi na ubora uleule, na kumshukuru kwa kuendelea kusisitiza mikopo inayotolewa kwa watu wenye ulemavu kwani huwasaidia kuwainua kiuchumi.

Aidha Bi. Charangwa amewapongeza Umoja wa Wajasiriamali Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA) “Niwapongeze kwa kuandaa shughuli nzuri yenye lengo zuri la kumpongeza mama yetu, mnaonesha jinsi gani mna shukurani maana kila mtu angeweza kukaa peke yake na kushukuru, hivyo mtaenda kumtia Mhe. Rais” Amesema Bi. Charangwa.

Nae Ndg. Juma Malecha ambae ni Mwenyekiti wa Umoja huo amesema wanashukuru Uongozi bora wa Serikali ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa kipaumbele watu wenye ulemavu kwani ndani ya miaka miwili ya uongozi wake aliweza kukutana na Watu wenye Ulemavu na kusikiliza changamoto zao, Pia Mhe. Rais ameendelea kusisitiza suala la mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri huku kundi hilo likiwa miongoni mwa makundi yaliyonufaika na mikopo hiyo kwa asilimia 2. Aliongeza kwa kusema kuwa ndani miaka miwili hiyo Mhe. Dkt. Samia ameweza kufufua Vyuo vya Ufundi kwa Watu wenye Ulemavu ambavyo vilikuwa vimefungwa ambapo katika vyuo hivyo wanapata chakula na malazi bure na pia amekemea unyanyapaa.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili 2022 January 04, 2023
  • Taarifa kwa Umma kuhusu Wanafunzi kuripoti shuleni mwaka 2023 January 12, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2022 January 29, 2023
  • TANGAZO DHIDI YA UTAPELI WA AJIRA July 20, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Wilaya ya Ilala Awataka Wananchi Kupanda Miti Kwa Wingi

    March 29, 2023
  • Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wafanya mafunzo ya namna ya Utendaji kazi katika Idara hiyo Mpya

    March 29, 2023
  • Wazazi na Walezi watakiwa kuwapa Watoto Mlo Kamili

    March 29, 2023
  • Waziri Mkuu awataka Maafisa Habari Nchini kutekeleza wajibu wao

    March 27, 2023
  • Angalia zote

Video

NAPA
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi: 0713614364

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.